mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Nina router inayotumia line ya kampuni fulani. Lakini hivi karibuni wamekuwa kama matapeli Fulani hivi, ukinunua MB zinaisha fasta wakati MB kama hizo kwa line zingine unaweza kutumia hadi siku tatu (bila downloading au kuingia you tube). Natafuta ujanja wa kuwezesha hiyo router itumike kwa line zote! Karibu wataalamu!