Hivi kuna ulazima gani wa hati ya dharura,kweny maswala yanayo husu rasilimali zetu??

Yudatade Edesi Shayo

JF-Expert Member
Aug 2, 2016
2,903
4,306
mimi nilikuwa moja ya watanzania,waliokuwa na furaha baada ya ripoti mbili za prof Mruma na prof Osoro.niliona dhamira ya dhati ya mh raisi kulinda na kutete maslahi yetu.ila thatha,juzi serekali imepeleka miswada 3 bungeni,nakuazimia kuipitisha kwa hati ya dharura!!nimejiuliza kwa upeo wangu mdogo,je tunarudi 1997 kwenye hati ya dharura ya madini au 2015 mswada wa mafuta na gas tulipokuwa tunaipitisha utadhani tunakimbizwa?? hivi kweli jamani tukipata muda tukajadili kwa uangalifu,umakini,kitaalamu zaidi,itakuwa dhambi???? Mt kilimanjaro itahama? Serengeti itafutika yani sielewi haraka ya nn,mali zetu wenyewe.au hiyo miswada nikana kwamba tunaenda vitani?tukichelewa adui atatumaliza??tuache masihara na maigizo kwenye maslahi ya taifa hili.tusije mpongeza raisi mwingine atakaye unda tume ya kuchunguza hii mikataba inayo pitishwa wakati hu, kana kwamba kuna ugomvi. huko mbeleni..
 
Wanarudia makosa yaliyofanywa na wenzao waliopita. Nina wasiwasi na ile ziara ya bosi wa acacia pale ikulu ndo impact yake hii
miswadaa hii mitatu ,2 ni kuhusu natural resources huku ndo kwenye madudu??vitalu vya windaji,kuna wamasai wanateswa huko pori la akiba na mwekezaji wa kiarabu.thatha kwani tusijadili pole pole,ilituweze kupata solution ya matatizo yanayo tukabili??
 
Nina mashaka sana na muenendo wa Bunge letu katika kuisimamia Serikali. Chochote kinachopelekwa Bungeni na Serikali ni kinapitishwa tu hata kama kina mapungufu kiasi gani. Sidhani kama wabunge wengi wanatutendea haki wananchi. Suluhisho hapa ni rasimu ya Mh. Warioba tu
 
Naumia sana navoona mambo yanavokwenda tz lakn bdo watz wapo gzan na wanapongeza. Kuna wanaccm wanapongeza tena hyo 'hati ya dharura', miaka ijayo watampongeza tena mwenyekiti wao mpya atakapokua analalamika kuhusu hzi sheria mbov kwenye rasilimali zetu. Hv nani katuloga watz?
 
Nina mashaka sana na muenendo wa Bunge letu katika kuisimamia Serikali. Chochote kinachopelekwa Bungeni na Serikali ni kinapitishwa tu hata kama kina mapungufu kiasi gani. Sidhani kama wabunge wengi wanatutendea haki wananchi. Suluhisho hapa ni rasimu ya Mh. Warioba tu
Katiba mpya ndo dawa tosha ya ugonjwa unaotusumbua bro
 
Naumia sana navoona mambo yanavokwenda tz lakn bdo watz wapo gzan na wanapongeza. Kuna wanaccm wanapongeza tena hyo 'hati ya dharura', miaka ijayo watampongeza tena mwenyekiti wao mpya atakapokua analalamika kuhusu hzi sheria mbov kwenye rasilimali zetu. Hv nani katuloga watz?
Nadhani kuna mahali tumekosea!!inabidi tufanye ibada ya kitaifa ,maombi na dua za kitaifa,si bure kabisa
 
mimi nilimshangaa Polepole pale aliposema kwamba mbunge yeyote wa ccm hata akilalamika vipi kwamba bajeti sio nzuri haitatui matatizo itambidi aipitishe kwa kura ya ndiooo tu maadamu yeye ni mbunge wa ccm iliyounda serikali
 
mimi nilimshangaa Polepole pale aliposema kwamba mbunge yeyote wa ccm hata akilalamika vipi kwamba bajeti sio nzuri haitatui matatizo itambidi aipitishe kwa kura ya ndiooo tu maadamu yeye ni mbunge wa ccm iliyounda serikali
Stomach politician,yani wanajali matumbo yao!!!hawako kwa maslahi ya taifa hili!!!
 
Kwa mtazamo wangu
Ninge shauri upinzani wasishiriki kwenye mjadala wa dharura wa rasilimali za nchi.
Waache Ccm wajadili wenyewe ili historia ije iwahukumu tena
 
Back
Top Bottom