Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,553
Ha ha haaa unaimba unawika mkuu?huyo enock nikiamua kuimba haniwezi
Ha ha haaa unaimba unawika mkuu?huyo enock nikiamua kuimba haniwezi
Subiri kampen zianze utawaona na kijani na njanoMbona siku hizi hawasikiki tena hao madogo?
Wameshakifu soko nini?
ebu imba wewe...tukusikie!kinyamkera dibwe dibwe ndio aniweze mimi
kazi yake nikunogesha nyimbo kwa michembezo kama hio...ndio anachoimba halafu eti nae ana mashabiki kweli matakataka
hawaja kifu...wamerelease nyimbo ya mpya wakimshirikisha Ruby inayoitwa "SU" Ebu scroll hapo juu nimeweka Youtube Link ya VideoMbona siku hizi hawasikiki tena hao madogo?
Wameshakifu soko nini?
yeah,aliipendezesha sana nyimbo ya "Nitajuta"Mimi kati ya wote namkubali maromboso
niimbe wapiebu imba wewe...tukusikie!
ndio maana nasema hajui na haniwezikazi yake nikunogesha nyimbo kwa michembezo kama hio...
ebu upload video clip yako tuone unavyoimba,afu tufanye ulinganisho na Enock,maana tupo tunatwanga maji kwenye kinundio maana nasema hajui na haniwezi
haina noma,mie alikuna kwenye wimbo wa "Nitajuta"Mimi kati ya wote namkubali maromboso
uyo ni maromboso,alitisha sana kwenye wimbo wa "Nitajuta"Yule dogo anaeimba "kwanza jambo moja nkwambie, wewe unaendana na mie, hao wengine wachunie" katka SU...
".....nikatoa nkagawanya, nkajua unadanganya, we mbaya weee"
Huyo ndo anaejua kundi zima
Ahahaha,tuko pamoja!mie amenikosha kwenye "SU",Mwenye ....akae foleni na mwenye .... akae chini, lazima afunge kibwebwe atambe aoneshe mbwembwe, kama Jeshi kitambo, wasemaje mugambo, mimi bwana mipango..............
Hiyo verse inanikoshaga sana japo kuna maneno siyakumbuki
ahahaha,ebu nipe mfano wa matusi hayoAnatukana sana bhana
Mm naona zote mkuu Ana sauti flani tamu group zima hakuna ,yeah,aliipendezesha sana nyimbo ya "Nitajuta"
Maromboso huyo mkuu huyo dogo ananogesha nyimbo Sana asipokuwepo cjui Kama nyimbo itanogaYule dogo anaeimba "kwanza jambo moja nkwambie, wewe unaendana na mie, hao wengine wachunie" katka SU...
".....nikatoa nkagawanya, nkajua unadanganya, we mbaya weee"
Huyo ndo anaejua kundi zima
sio mbaya,ana sauti na tone fulani maridhawa sanaMm naona zote mkuu Ana sauti flani tamu group zima hakuna ,
Yule dogo anaeimba "kwanza jambo moja nkwambie, wewe unaendana na mie, hao wengine wachunie" katka SU...
".....nikatoa nkagawanya, nkajua unadanganya, we mbaya weee"
Huyo ndo anaejua kundi zima