The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Hivi kuna kocha mwenye mafanikio na mtaalam wa mpira wa ulaya kama Morinyo?
Binafsi ningetamani kuona huyu jamaa anaitwa Sir Jose Mourinho. Maana sioni nimlinganishe na kocha yupi, ni basi tu anatokea kwenye kanchi kadogo ka Ureno ndio maana anakua underated hasa ukizingatia media za Uingereza ndizo zinatamba Duniani ila hakika huyi jamaa angekua muingereza sasa angekua anaitwa majina makubwa sana.
Kwangu mimi na kwa facts Mourinho ndie kocha bora zaid8 kuwahi kutokea Ulaya.
Binafsi ningetamani kuona huyu jamaa anaitwa Sir Jose Mourinho. Maana sioni nimlinganishe na kocha yupi, ni basi tu anatokea kwenye kanchi kadogo ka Ureno ndio maana anakua underated hasa ukizingatia media za Uingereza ndizo zinatamba Duniani ila hakika huyi jamaa angekua muingereza sasa angekua anaitwa majina makubwa sana.
Kwangu mimi na kwa facts Mourinho ndie kocha bora zaid8 kuwahi kutokea Ulaya.