Hivi kuna chuo wameshasain boom jmn

Hivi kuna chuo wameshasain boom jmn

ninjaa

Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
8
Reaction score
1
Jmn hv kuna chuo ambacho wameshasain boom au ndo heslb bado inazngua co kwa wanaoanza ni kwa wale continuous naomb nijibiwe km yupo ana taarifa yyte
 
Kwa uandishi huu inapaswa HESLB ikucheleweshee mkopo tu...maana kama ndio umengia Darsa la tatu B.....
 
MUM hawapewi na Heslb
Mimi ni mwanachuo wa MUM nipo mwaka wa pili ,,,nimeomba mkopo toka hesbl naninanufaika hadi sasa na mkopo. Ila mwaka huu kwa waliokosa mkopo toka loanboard MUM wanatoa mikopo 60% ,,,,,, na Leo tume sign boom,,, ,,,, SIO KWELI KUWA MUM HAWAPEWI MIKOPO ,,,,,,
 
Mimi ni mwanachuo wa MUM nipo mwaka wa pili ,,,nimeomba mkopo toka hesbl naninanufaika hadi sasa na mkopo. Ila mwaka huu kwa waliokosa mkopo toka loanboard MUM wanatoa mikopo 60% ,,,,,, na Leo tume sign boom,,, ,,,, SIO KWELI KUWA MUM HAWAPEWI MIKOPO ,,,,,,
sawa Mkuu
 
Jaman Kama kuna mtu mwenye list ya majina ya waliopata mkopo katka chuo kikuu cha iringa.
Tafadhali jaman
 
Back
Top Bottom