Talha
JF-Expert Member
- Nov 11, 2021
- 202
- 220
Kasave na pesa pia ya stationarySuala sio simu kuweza ku-print suala ni access ya hiyo Printer wengi hatuna zipo Stationary Sasa ufanya na simu yako alafu kwenye hatua ya ku-print unapangusa makalio unaenda Stationary ku-print si kuruka mkojo kukanyaga mavi...Bora tu kufanyia na computer hukohuko stationary.