Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Hata kama sektetary ya ccm viongozi wake wamejiuzulu pana tija gani kwa taifa!?,huu unaweza kuwa mchezo wa kisiasa kuwanyamazisha wananchi wakiingia wengine wanakula vilevile kiasi mpaka mje mstukie wananchi watakuwa wanarudi nyuma badala ya kwenda mbele