Hivi kifo kina siri gani

Hivi kifo kina siri gani

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Watu wengi wanajiuliza je kuna maisha baada ya kifo
Na mimi pia najiulizaga swala hilo pia
Lakini mkasa huu nahisi utatusaidia sote kujua kitu fulani

Mwaka 2013 kuna mama mmoja kijijini kwetu alikutwa ameanguka shambani kwake watu fulani wakamuogota na kumpeleka hospitalini
Lakini kwa bahati nzuri na mbaya mama huyo alipona lakini alipooza kabisa mikono na miguu
Baada ya mwezi kazaa mama huyo alikufa
Na kumbuka ilikuwa juma pili ndo alifariki mama huyo na Juma tatu akazikwa
Sasa kuna siku mimi na mke wa brother yangu tulikuwa tunakwenda shambani
Tulivyo kuwa Karibu na shambani la mama yule mama marehemu maana tulikuwa tuna pita shambani kwake kwenda shambani kwetu
Tukaanza kuhisi nyama za mwili kusinyaa na mwili kuwa baridi pamoja na nywele kukokotwa wote tukahisi labda ni baridi ya asubuhi lakini tulivyo kuwa tuna Songea tukawa tuna sikia harufu kali na mbaya
Tulivyo angalia pembeni tulimuona mama yule ambaye alizikwa juma tatu yupo karibu na mti alafu alikuwa kama analia hivi
Tulikimbia mbio uku tukilalamika kwa bahati nzuri kulikuwa kuna pita akina baba wa wili hivi walisikia kelele zetu Wakaja mbio kule ambako tulikuwa wajatuliza nini tatizo tukawapa mkasa wote walishangaa

Mwaka 2016 kuna kijana mmoja ambaye alikuwa ana toka south Afrika uko alikuja kutibiwa kiasili kijijini kwetu lakini kwa kwa bahati mbaya kijana yule hakupona alifariki

Baada ya kupita wiki mbili kuna siku nilikuwa zangu tu nimelala mchana nikaota kijana huyo ana kuja kuniambia kuwa ni mwambie Mke wake achukuwe mtoto wao na pesa ambazo ziko ndani ya pochi lake kwenye suruali jeusi dollars 800 wakimbie sehemu ile ambayo wakaa
Mimi niliamuka uku nikiwa na maswali mengi kichwani juu ya ndoto hiyo kama ni kweli au ni ndoto tu ya kama ndoto zingine
Nilipotezea lakini moyo wangu ukawa unaniambie nenda nenda
Kabla ya kwenda nilimpa habari hizo mama yangu akanishauri kuwa niende kumpa habari hizo mke wa marehemu
Nilikwenda kumpa habari hizo uku moyo wangu ukiwa na maswali mengi nikifikiri nitaonekana Muongo
Nilikwenda kumpa taarifa hizo alinibishia lakini alivyo kwenda kucheki akakuta kweli pesa hizo zipo alishangaa saana

Je kifo kina siri gani? ]
 
Watu wengi wanajiuliza je kuna maisha baada ya kifo
Na mimi pia najiulizaga swala hilo pia
Lakini mkasa huu nahisi utatusaidia sote kujua kitu fulani

Mwaka 2013 kuna mama mmoja kijijini kwetu alikutwa ameanguka shambani kwake watu fulani wakamuogota na kumpeleka hospitalini
Lakini kwa bahati nzuri na mbaya mama huyo alipona lakini alipooza kabisa mikono na miguu
Baada ya mwezi kazaa mama huyo alikufa
Na kumbuka ilikuwa juma pili ndo alifariki mama huyo na Juma tatu akazikwa
Sasa kuna siku mimi na mke wa brother yangu tulikuwa tunakwenda shambani
Tulivyo kuwa Karibu na shambani la mama yule mama marehemu maana tulikuwa tuna pita shambani kwake kwenda shambani kwetu
Tukaanza kuhisi nyama za mwili kusinyaa na mwili kuwa baridi pamoja na nywele kukokotwa wote tukahisi labda ni baridi ya asubuhi lakini tulivyo kuwa tuna Songea tukawa tuna sikia harufu kali na mbaya
Tulivyo angalia pembeni tulimuona mama yule ambaye alizikwa juma tatu yupo karibu na mti alafu alikuwa kama analia hivi
Tulikimbia mbio uku tukilalamika kwa bahati nzuri kulikuwa kuna pita akina baba wa wili hivi walisikia kelele zetu Wakaja mbio kule ambako tulikuwa wajatuliza nini tatizo tukawapa mkasa wote walishangaa
brother hii umeifupisha sana sijapenda,embu tueleze nini kiliendelea.by the way kanuni za kuona misukule na marehem zinawezekana kwa watu waliochanjia tu,wewe na shemeji yako mnatoka koo za kiganga.
Mwaka 2016 kuna kijana mmoja ambaye alikuwa ana toka south Afrika uko alikuja kutibiwa kiasili kijijini kwetu lakini kwa kwa bahati mbaya kijana yule hakupona alifariki

Baada ya kupita wiki mbili kuna siku nilikuwa zangu tu nimelala mchana nikaota kijana huyo ana kuja kuniambia kuwa ni mwambie Mke wake achukuwe mtoto wao na pesa ambazo ziko ndani ya pochi lake kwenye suruali jeusi dollars 800 wakimbie sehemu ile ambayo wakaa
Mimi niliamuka uku nikiwa na maswali mengi kichwani juu ya ndoto hiyo kama ni kweli au ni ndoto tu ya kama ndoto zingine
Nilipotezea lakini moyo wangu ukawa unaniambie nenda nenda
Kabla ya kwenda nilimpa habari hizo mama yangu akanishauri kuwa niende kumpa habari hizo mke wa marehemu
Nilikwenda kumpa habari hizo uku moyo wangu ukiwa na maswali mengi nikifikiri nitaonekana Muongo
Nilikwenda kumpa taarifa hizo alinibishia lakini alivyo kwenda kucheki akakuta kweli pesa hizo zipo alishangaa saana
ndio,hii sio mara ya kwanza ujumbe kufikishiwa mtu kwa njia ya ndoto.
marehem wote unaowasikia hawapo nasisi kimwili,ila kiroho wapo nasi.
unapokuwa umelala ndio wakati ambao tunaweza kuonana na ndugu zetu kirahisi tukaongea tena.
Je kifo kina siri gani? ]
bado ni complex matrix ambayo Mungu mwenyewe kaamua kijiwekea utukufu hapo.
jana nilikuwa nafatilia msiba wa wanandoa wawili askari ambao kabla ya mauti siku tatu nyuma walikuwa ktk tukio lao muhimu na la kihistoria wakiwa na furaha kabisa,kumbe wamebakiza masaa 72 waondoke pamoja.
Mungu ndiye mjuzi zaidi.
 
Kuna jamii nyingine zinaamini ukifa basi utazaliwa katika mwili mwingine ila wanapata criticisms kutoka kwa waamini biblia kuwa mbona sisi tuliopo hai hatuna kumbukumbu ya wapi tulikua kabla ya kupewa hii miili yetu tuliyo nayo sasa?
Miaka 3000 iliyopita dunia ilikuwa na watu wachache ukilinganisha na leo tupo takribani watu bilioni sita. Je wengine hawana nafsi/roho. Maana wanaokufa ni wachache kuliko wanaozaliwa.
 
Hakuna mtu anayejuwa mpaka pale utakapo kufa ndio utajuwa
 
Ukishaijui siri ya kifo itasaidia nini? Hapo ni kujiandaa tu kwa mbinu zozote unazozijua wewe. Ila kifo ni pie.
 
Hakuna mwenye majibu timilifu kuhusu siri ya kifo.
Hii ni kwa sababu hatuna uwezo wa hiari wa kwenda upande wa pili na kurudi na majibu kamili. Vivyo hivyo kwa wafu.
Wapo, ingawa wachache sana wameonyeshwa tendo hilo na hatimaye kurudishwa duniani. Hawa ni wenye bahati, maana wanapata 'se ond chance' ya kujisahihisha kabla hawajaitwa moja kwa moja. Tukio hilo huja kama ndoto.
 
Back
Top Bottom