masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,813
- 16,862
Nimeaisikia tetesi kwamba SUMATRA wameshusha nauli bila kushirikisha umoja wa madereva hivyo kwesho watagoma.
Hii ni kuanzia daladala hadi mabasi makubwa.
Je, kuna kuna ukweli?
Hii ni kuanzia daladala hadi mabasi makubwa.
Je, kuna kuna ukweli?