Hivi katiba mpya nitunaomba au tunadai?

Hivi katiba mpya nitunaomba au tunadai?

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,966
Reaction score
5,558
Hapo vip!!

Wapizani wa nchi hii huwa wanadai au wanaomba katiba mpya.

Kwasababu kama wanaomba kuna mawili kukubaliwa au kukataliwa na Kama huwa wanaomba wakikataliwa wasilalamike kwasababu katika kuomba moja ya kukataliwa ni jibu.

Na kama wanadai kinachowakwamisha wasipewe nini...

Je, tunapaswa tuombe katiba mpya au tudai?
 
Tunadai lakin huyu aliyepo anaweza kutupiga risasi wote akabakia yeye na bashite tuu
 
Watanzania kwa.nini mnadhani kuwa ni wapinzani ndiyo wadai katiba mpya. Hiyo ni haki ya wote isipokuwa ya wanaccm kwani wao wanadhani wanakula good time.
 
Africans second liberation from fellows africans leaders
Time will tell..
 
Back
Top Bottom