Hivi kandanda ni nini?

Hivi kandanda ni nini?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,707
Reaction score
1,729
Sasa hivi Azam Sports 3 waeandika 1600-1800 Kandanda mbashara lakini wanaonesha mashindano ya 'basketball' ya CRDB kombe la Taifa.

Mie nachofahamu kandanda ni mpira wa miguu au soka au 'football'.

Sasa tusaidiane kama hiyo 'basketball' nayo ni kandanda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom