Hivi John Mnyika ndio msemaji wa Wanambeya?

Hivi John Mnyika ndio msemaji wa Wanambeya?

Joined
May 21, 2014
Posts
73
Reaction score
6
Ni aibu tu kwa wanambeya Joseph Mbilinyi Sugu yupo kimya kabisa huku John Mnyika akiwa msema juu ya chuo kikuu cha science and technology (MIST)?
 
Yaan ww haujui kitu juu ya majukumu ya mbunge nenda kasome katiba upya
 
Mkuu hakuna tatizo lolote Mnyika kusema kuhusu mbeya hila ni Kweli kabisa Mh Mbilinyi hata hana analo lifanya bungeni zaidi ya kupigana.

Hata huyo Mnyika Ubungo ilisha mshinda kitambo ana subiri kupumzishwa 2015.
 
Sugu! Yule ni zaidi ya kiazi. Wanambeya haturudii tena. Cdm isimamishe mtu mwngne 2015
 
Umbumbumbu wako unakusumbua, peleka kwa macc wenzio huko, kama hujui kitu kaa kimya, lazima utambue majukumu ya mbunge nini, kwani wizara anayoisimamia Sugu inawahusu wana Mbeya tu au, acha kujitoa ufahamu kwa kufanya siasa taka.
 
Ni aibu tu kwa wanambeya joseph mbilinyi sugu yupo kimya kabisa,huku john mnyika akiwa msema juu ya chuo kikuu cha science and technology ?

Mojawapo kati ya tofauti kubwa za wabunge wa upinzani na wale wa CCM ni kuwa wabunge wa upinzani huongelea na kuchangia hoja kwa mtazamo wa kitaifa, wakati wabunge wengi kama siyo wote wa CCM, huchangia kwa kutanguliza "kule kwetu".."jimboni kwangu, barabara..." (kabla ya kupinga, jaribu kufuatilia hotuba zao kwanza)

Kwa kuzingatia hilo, siyo ajabu mbunge flani akichangia kuhusu jambo flani, hata kama haliko jimboni kwake. Ila kama wewe ni mwana CCM hilo ni wazi ni jambo la ajabu na jipya. Pia nadhani tunapaswa kulalamika kama alichosema kina makosa na hakisaidii kuboresha. Ila sidhani kama kuna haja ya kulalamikia mtu kusema tu!
 
Mbeya pia ni zaidi ya muijuavyo kwa kila kitu, kwani maajabu na miujiza ndiyo nyumbani kwake.
 
sugu amepewa kazi maalum ya kumtukana zito, hana habari na mbeya
 
Wewe Ni Mbumbumbu Wa Majukumu Ya Mbunge, Kaa Kimya Maana Unaharisha Tu
 
KICHEKESHO. JOHN ANATAFUTA POLITICAL GAIN KWa hiyo anajaribu kila njia angalau awepo kwenye chart. khusu sugu-hamna cha ajabu maana jamaa ni empty kabisa kichwani. f4 alitaga akatokomea US. na amechaguliwa na machalii ya mjini kama mwenzake lema.
 
KICHEKESHO. JOHN ANATAFUTA POLITICAL GAIN KWa hiyo anajaribu kila njia angalau awepo kwenye chart. khusu sugu-hamna cha ajabu maana jamaa ni empty kabisa kichwani. f4 alitaga akatokomea US. na amechaguliwa na machalii ya mjini kama mwenzake lema.

waliomchagua watamchagua tena,magamba hatuyapi nafasi tena coz hata tuliofikiri wana akili wametusaliti akili na busara wakazikabidhi kwa nepi na kubaki na empty head
 
waliomchagua watamchagua tena,magamba hatuyapi nafasi tena coz hata tuliofikiri wana akili wametusaliti akili na busara wakazikabidhi kwa nepi na kubaki na empty head
hahaa! unachekesha. Unaweza kulinganisha hicho kimnyika na Professor nguli kama Mhongo? aliulizwa 4 kipeo cha 4 ni ngapi, dogo katokomea kusikojulikana. chezea Professor wewe.
 
Mnyia anakiherehere anauza sura tu wala hana jipya.

Mnyika baada ya kuchemsha jimboni kwake basi amepagawa amebaki kujiropokea tuu na hoja zake za kitoto kwa kila hoja anataka kuweka shilingi.anatia huruma!.. kwa kifupi watu wa ubungo hawana mwakilishi bungeni
 
Back
Top Bottom