Hivi John Bocco ana hisa Azam?

Hivi John Bocco ana hisa Azam?

komeka

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2013
Posts
1,072
Reaction score
404
Binafsi huwa nashangazwa na kiwango cha John Bocco kwani ni galasa mno pamoja na kutokuwa na kipaji jamaa siyo fighter kabisa unamuona kabsa akiwa anacheza hana malengo ya kufunga anasubiri bahati kwa mlioangalia mechi ya jana mtakuwa mashahidi
 
Yule alikuwa wakutolewa mapema ,hapa TZ hatuna striker kabisa ,kama ndiyo tunamtegemea kwenye national team kwa kiwango kile tunakazi kubwa sana ,alitengewa pasi safi na Didier anapiga mpira hovyo kabisa ,nafasi kama zile utakiwi kufanya makosa ,anacheza bila malengo sijui hafuati malekezo ya mwalimu ,Kipre tu ndiye alikuwa anaonekana ana kiu na goli
 
Ndiye aliyefunga goal la kuwapandisha ligi kuu
 
Binafsi huwa nashangazwa na kiwango cha John bocco kwani ni galasa mno pamoja na lutokuwa na kipaji jamaa cyo fighter kabsa unamuona kbsa akiwa anacheza hana malengo ya kufunga anasubiri bahati kwa mlioangalia mechi ya jana mtakuwa mashahidi
Kwa hiyo mechi moja inatosha kudhani kuwa JB19 ana hisa Azam?
 
Kwa hiyo mechi moja inatosha kudhani kuwa JB19 ana hisa Azam?

km ushafuatilia John bocco huwa anang'aa mechi za vibonde akikutana na watu wanaoijua kazi Yao huwa anakuwa mnyonge Sana .....kwa kifupi cyo mpanbanaji
 
km ushafuatilia John bocco huwa anang'aa mechi za vibonde akikutana na watu wanaoijua kazi Yao huwa anakuwa mnyonge Sana .....kwa kifupi cyo mpanbanaji
Alishawahi kuwa mfungaji bora VPL?
 
Kumbe mnafurahia timu zetu zinapofukuza wachezaji kila msimu?
 
John Bocco ndie mfungaji bora wa nyakati zote azam fc,ndie aliefunga bao lililoipandisha azam fc hadi ligi kuu ya tz.pia ndie mfungaji wa bao lililoipa azam fc ubingwa wao wa kwanza wa ligu kuu..huko rwanda hadi hivi sasa ameshafunga bao 2 kwny kagame,ni nahodha wa azam fc!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom