Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
nadhani bora nikiitwa silly tu, haya ya kuja kutafutana baadae sitaki kabisa..,anonymous
Nahuu ndio MSIMU WAKO. SILLY SEASON
nadhani bora nikiitwa silly tu, haya ya kuja kutafutana baadae sitaki kabisa..,anonymous
Kinachotusadia ni kwamba hakuna anayenijua jina langu halisi na wengi siwajui.
Hivi kila mmoja wetu angekuwa analazimika kuonekana ID yaani jina lake halisi na mahala unapokaa, hivi tungebaki salama kweli?
Au yangekuwa ndiyo yaleyale ya kuitwa na polisi watatu halafu unatokomoea kusikojulikana na kesho yake unakutwa mtaroni kama ilivyotokea kwa Robert Ouko kule Kenya.
acheni woga, huna impact yoyote kwa harakati za kwenye keyboard, go out there and do something real ndio uanze kuhofia usalama wako. Kuficha id ni woga wa kijinga, kwa teknolojia hii watu wakitaka kukutafuta wanakupata tena haraka mno.
kinachotusadia ni kwamba hakuna anayenijua jina langu halisi na wengi siwajui.
Hivi kila mmoja wetu angekuwa analazimika kuonekana id yaani jina lake halisi na mahala unapokaa, hivi tungebaki salama kweli?
Au yangekuwa ndiyo yaleyale ya kuitwa na polisi watatu halafu unatokomoea kusikojulikana na kesho yake unakutwa mtaroni kama ilivyotokea kwa robert ouko kule kenya.
ah ah mdau hujatumia jina lako sema kwe registration umeweka email yako unayotumia hadi ofisin kwahiyo wakitaka kukuhack ni sekunde tu...cha umuhimu ni kujiamini na kusimama katika ukweli kwani itakuweka huru
yaani mkuuu hata kwa majina yetu haya bado napata wasiwasi maana sikumbuki wakati najisajili niliandika nini labda nipate uhakika wa usalama kutoka kwa modsWangetumaliza walahi,serikali ya kidikteta huwa haipendi kuambiwa ukweli wala kusahihishwa,wangetumaliza
Kinachotusadia ni kwamba hakuna anayenijua jina langu halisi na wengi siwajui.
Hivi kila mmoja wetu angekuwa analazimika kuonekana ID yaani jina lake halisi na mahala unapokaa, hivi tungebaki salama kweli?
Au yangekuwa ndiyo yaleyale ya kuitwa na polisi watatu halafu unatokomoea kusikojulikana na kesho yake unakutwa mtaroni kama ilivyotokea kwa Robert Ouko kule Kenya.
Mimi naitwa POWER GEORGE naishi Msoga kijijini - nyumba ya tano toka nyumbani kwao DHAIFU na picha yangu ndiyo hiyo hapo juu. Mwenye kutaka kuni-Ulimboka namkaribisha, niko tayari.Wangetumaliza walahi,serikali ya kidikteta huwa haipendi kuambiwa ukweli wala kusahihishwa,wangetumaliza
Ni kweli ndg zangu, hata sisi tunaotumia ID na majina yetu, hatujui ni lini tutaokotwa, tuombeeni sana, huwa ninajiuliza hawa jamaa ni lini wataichomoa roho yangu? kisha najipa moyo bado bado. Tunaelewa kuwa tunamshika simba sharubu wakati yy yu macho. OOh..God be with us.