nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 694
Wabari wana Jamii forums.
Mimi ni kijana mwenzenu age yangu kati ya 25-30 nimekuwa nikitafuta mwanamke ambaye naweza kutengenezea nae mahusiano ya kweli yatakayo tupeleka kwenye ndoa.
Lakini changamoto nayakutana nayo kila msichana ambaye naye mpenda nikimtongoza ananikatalia ombi langu lakini cha ajabu wasichana nisio wapenda hawaishi kunishobokea na kujitongozesha kwangu.
Halafu sasa mmi hao si wataki,nimemwambia kaka yangu juu ya hiyo hali na yeye akaniambia kwamba "siku zote msichana unaempenda sana huwezi kumpata na ukimpata hudumu nae.
"Je ndugu zangu kuna ukweli wwote juu ya hiyo kauli ya brother yangu,sio siri nimechoka kuwa na mahusiano na wasichana nisiowapenda, nahitaji mmoja tu ninayempenda nitulie nae.
Mimi ni kijana mwenzenu age yangu kati ya 25-30 nimekuwa nikitafuta mwanamke ambaye naweza kutengenezea nae mahusiano ya kweli yatakayo tupeleka kwenye ndoa.
Lakini changamoto nayakutana nayo kila msichana ambaye naye mpenda nikimtongoza ananikatalia ombi langu lakini cha ajabu wasichana nisio wapenda hawaishi kunishobokea na kujitongozesha kwangu.
Halafu sasa mmi hao si wataki,nimemwambia kaka yangu juu ya hiyo hali na yeye akaniambia kwamba "siku zote msichana unaempenda sana huwezi kumpata na ukimpata hudumu nae.
"Je ndugu zangu kuna ukweli wwote juu ya hiyo kauli ya brother yangu,sio siri nimechoka kuwa na mahusiano na wasichana nisiowapenda, nahitaji mmoja tu ninayempenda nitulie nae.