S 300 vs B 52
Member
- May 13, 2015
- 21
- 4
Wadau nisaidie!
Mbona nasikia Dr Magufuli aliifutilia mbali ! Hapa kazi tu !Mkataba ni almost 30 years
Per day wanalipwa MILLION 400 na serikali
Thubutu nani mwenye uwezo wa kumgusa singa singa.Mbona nasikia Dr Magufuli aliifutilia mbali ! Hapa kazi tu !
Duh! Noma kweli !Huyu singasinga ndio alitoa zaidi ya nusu ya budget kwenye kampeni na wale vijana waliokuwa mlimani city wakifanya yao ile team ya marope kwenye kuchakata kura ni singasinga ndo mdhamini you can see
Ni balaa mkuu hakuna cha kupambana na ufisadi wala nn emu piga hesabu mil 400 kwa siku kwa mwezi ni bil 12 kwa mwaka ni bilioni 144 anapewa mtu mmoja tuDuh! Noma kweli !