Kitchetche
Member
- Apr 2, 2017
- 71
- 77
Kwa wale waliopitia haya mambo na wote mnaojua.
1. Je inawezekana kuomba mahari ipunguzwe!?
2. Usipotoa mahari inakuaje, japo ulisha ahidi utatoa.
Naomba kujuzwa tafadhali, maana nipo kwenye mipango hiyo ila hali ngumu kiuchumi.
1. Je inawezekana kuomba mahari ipunguzwe!?
2. Usipotoa mahari inakuaje, japo ulisha ahidi utatoa.
Naomba kujuzwa tafadhali, maana nipo kwenye mipango hiyo ila hali ngumu kiuchumi.