Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,958
- Thread starter
- #21
Hata mimi huwa nawashangaa alafu linaonekana yan nikiona mwanaume kavaa hivyo hata hamu inaniisha na huwa nakata stimu balaaa. Na mtu wa hivyo haezi nigusa hata mkono wangu maana najua moja kwa moja kuwa huyu mtu ni mchafu. Wanaume mbadilike
Sema ww yaaab unakuta linaninginiaa juu ya suruali yaan hadi kero