Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,063
- 1,188
Kabadilika sikuizi yaani ukimpigia simu hapokei, ukiingia Online Whatsapp unamuona. Anakupigia pale anapojisikia yeye, anakuuliza unaenda wapi unamwambia natoka naenda sehemu ananuna kwanini hujamwambia kama unatoka, unamwambia nimekupigia hukupokea analaumu ungetuma text unamwambia sijatuma cuz mekuona online unachat tena unapost had status uliona missed call why hukuanza kuniatafuta ndio uendelee na mambo yako, ananuna.
Je, nimfanyaje huyu mwanamke? Maana huku alipofikia sasa kama kazoea haka kamchezo anaona missed call anapotezea anakutafuta muda atakao yeye
Je, nimfanyaje huyu mwanamke? Maana huku alipofikia sasa kama kazoea haka kamchezo anaona missed call anapotezea anakutafuta muda atakao yeye