Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 625
Unaanzeje mtu tu from nowhere unakaa baa/kwenye kadamnasi na kujitangaza kua wewe ni Afisa usalama/Usalama wa taifa lengo lako hasa ni nini?
watu wakuogope wakuache peke yako waone mchomoa betri kaingia? Au unataka unywe uondoke bila kulipa? Kama uliapa ndugu,uliapa kitu gani? Nini maana ya kile kiapo "Mungu nisaidie" . Hebu acheni mambo yenu bwana, msitutishe.
watu wakuogope wakuache peke yako waone mchomoa betri kaingia? Au unataka unywe uondoke bila kulipa? Kama uliapa ndugu,uliapa kitu gani? Nini maana ya kile kiapo "Mungu nisaidie" . Hebu acheni mambo yenu bwana, msitutishe.