MWALIMU ZUBERY
Member
- Aug 4, 2015
- 9
- 2
Kuna msichsna nampenda sana tena zaidi ya neno lenyewe,kwa wasichana wa tanzania wakitaka waamini kuwa fulani ananipenda sana umtamkie kwa kingeleza "i love you so much$ harafu umpige busu basi hapo roho yake nyeupeee kama sañda........
msichana huyo tulimalaza kidato cha nne mwaka jana na sasa yupo shule tofauti na mimi....nilimtongoza na mara nyingi huwa ananizuungu sha lakini kwa ishara anaonyesha hali fulani.. japo hajanikubalia lakni mimi naona kama tupo pamoja...uamuzi gani nimechukua?..jinsi ninavyompenda nimeamua kumuweka kwenye wallpaper yangu kwenya simu ili hali tu nisimsahau....nishaulini niponsawa au najisumbua tu.....
msichana huyo tulimalaza kidato cha nne mwaka jana na sasa yupo shule tofauti na mimi....nilimtongoza na mara nyingi huwa ananizuungu sha lakini kwa ishara anaonyesha hali fulani.. japo hajanikubalia lakni mimi naona kama tupo pamoja...uamuzi gani nimechukua?..jinsi ninavyompenda nimeamua kumuweka kwenye wallpaper yangu kwenya simu ili hali tu nisimsahau....nishaulini niponsawa au najisumbua tu.....