Kweli ww ni tango pori
Ha ha ha haaaaa! Umenivunja mbavu sana aisee hadi nimejamba kwa kicheko!Hivi huu ugomvi wa ManPac na Mayweather kwanini serikali ya marekani imeufumbia macho na kwanini wasiusolve kwa njia za kidemokrasia? UN nayo imekaa kimya hadi watu wanataka kupigana. Kweli vita haviwezi kuisha.
Cha ajabu na hela wamepewa,
Ila sisi tukipigana hapa mtaani tunapelekwa polisi!
It is not fair!
Kweli ww ni tango pori
Cha ajabu na hela wamepewa,
Ila sisi tukipigana hapa mtaani tunapelekwa polisi!
It is not fair!
Cha ajabu na hela wamepewa,
Ila sisi tukipigana hapa mtaani tunapelekwa polisi!
It is not fair!