Hivi Huu Mchezo wa Kricket ukojeukoje, wanachezajechezaje? Nieleweshwe tafadhali

Threesixteen Himself

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
8,233
8,022
!
!
Samahani sana humu jukwaa la michezo hasa kama kuna post inayofanana na hii, ni vile natumia mchina na siwezi kusearch ila imebidi niulize tu. Hivii huu mchezo wa cricket unachezwajechezwaje? maaana mie siuelewi hata kidogo, superspot wanauonesha tena live na washabiki kibaoooo sasa kinachonishangaza zaidi wakati sielewi najujutajujuta naona wao wanashangilia kweli kweli na kupongezana, kafungaje? sijui....kimetokea nini sijui. Hebu nieleweshwe wadau wa humu kama yupo mjuvi wa huo mchezo.
 
!
!
Samahani sana humu jukwaa la michezo hasa kama kuna post inayofanana na hii, ni vile natumia mchina na siwezi kusearch ila imebidi niulize tu. Hivii huu mchezo wa cricket unachezwajechezwaje? maaana mie siuelewi hata kidogo, superspot wanauonesha tena live na washabiki kibaoooo sasa kinachonishangaza zaidi wakati sielewi najujutajujuta naona wao wanashangilia kweli kweli na kupongezana, kafungaje? sijui....kimetokea nini sijui. Hebu nieleweshwe wadau wa humu kama yupo mjuvi wa huo mchezo.
Wakikuelewesha unieleweshe na mie tafadhali
 
Huu mchezo kwa bongo sidhani kama kuna mwenye Uelewa nao .

Pamoja ...na Poker

Poker ndio Giza Nene kabisa Pamoja na Ujanja Wa Watu Humu JF...nilishawahi uliza hakuna anayejua . Nadhani kwa vile inahusisha Hesabu ndani yake .
 
Huu mchezo kwa bongo sidhani kama kuna mwenye Uelewa nao .

Pamoja ...na Poker

Poker ndio Giza Nene kabisa Pamoja na Ujanja Wa Watu Humu JF...nilishawahi uliza hakuna anayejua . Nadhani kwa vile inahusisha Hesabu ndani yake .
Poker ule wa kamari? Nimecheza sana udogoni mwangu kama video game.

Kifupi wanaangalia mambo matatu
1. Kumechisha namba za karata mfano madume mawili
2. Kumechisha umbo la karata mfano shupaza ama kisu
3. Mfuatano wa karata mfano j, q, k, dume

Angalia hii picha
1470891313.jpg


Kupata hio flush ni ngumu ila hizo two of a kind and three of a kind sio Ngumu sana na most of time ndio zinaamua mchezo, unachofanya unatoa na kuramba ili umechishe karata zako, mwenye Kumechisha kuzuri zaidi ndio anashinda.
 
!
!
Samahani sana humu jukwaa la michezo hasa kama kuna post inayofanana na hii, ni vile natumia mchina na siwezi kusearch ila imebidi niulize tu. Hivii huu mchezo wa cricket unachezwajechezwaje? maaana mie siuelewi hata kidogo, superspot wanauonesha tena live na washabiki kibaoooo sasa kinachonishangaza zaidi wakati sielewi najujutajujuta naona wao wanashangilia kweli kweli na kupongezana, kafungaje? sijui....kimetokea nini sijui. Hebu nieleweshwe wadau wa humu kama yupo mjuvi wa huo mchezo.
Ajabu ya huu mchezo ulianzia England,, lakini Africa hatukufundishwa.

Mchezo huu sana upo

India.
Pakistan
Ndy vinara kwa kwa sasa,,hapa kwetu kuujuwa ni vigumu Sana
 
Back
Top Bottom