Hivi hii ni mvua au Tanzania inapata ubatizo?

kaseva

JF-Expert Member
Mar 19, 2016
473
301
FB_IMG_1494568604492.jpg
 
Aibu Dar jiji kubwa baada miaka 50 na zaidi ya Uhuru bado Hamna miundombinu na drainage system ya kueleweka,maji yanafurika kwenye nyumba za watu.
 
Mwaka jana wakati tuna kabiliwa na ukame tulilia sn. Kila mtu kwa iman yake iwe kanisan au misikitin tuliomba mvua ili kunusulu mazao na mifugo Mungu akajibu maombi. Tumepata tena......................... Nn Mungu atupe jamani?
 
Mwaka jana wakati tuna kabiliwa na ukame tulilia sn. Kila mtu kwa iman yake iwe kanisan au misikitin tuliomba mvua ili kunusulu mazao na mifugo Mungu akajibu maombi. Tumepata tena......................... Nn Mungu atupe jamani?
Hehe naona waliokuwa wakiomba walisahau kuweka kiwango cha kile wanachokiomba
 
Back
Top Bottom