Chadema 2030 JF-Expert Member Joined May 5, 2025 Posts 1,916 Reaction score 3,748 May 15, 2026 #1 Mtu haend kanisani wala msikitin ila anamuamini mungu na kumwabudu. ila kuenda kwake kanisan n mwiko?
Mtu haend kanisani wala msikitin ila anamuamini mungu na kumwabudu. ila kuenda kwake kanisan n mwiko?
TAI DUME JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 11,181 Reaction score 30,669 May 15, 2026 #2 Huyo Hana dini. Usikariri Kila anayemuamini Mungu basi ana dini. Dini imeletwa na mwanadamu,Ila Mungu yupo kabla ya uwepi wa dini.
Huyo Hana dini. Usikariri Kila anayemuamini Mungu basi ana dini. Dini imeletwa na mwanadamu,Ila Mungu yupo kabla ya uwepi wa dini.
Chadema 2030 JF-Expert Member Joined May 5, 2025 Posts 1,916 Reaction score 3,748 May 15, 2026 Thread starter #3 TAI DUME said: Huyo Hana dini. Usikariri Kila anayemuamini Mungu basi ana dini. Dini imeletwa na mwanadamu,Ila Mungu yupo kabla ya uwepi wa dini. Click to expand... Ukwel ila hawa wagalatia noma
TAI DUME said: Huyo Hana dini. Usikariri Kila anayemuamini Mungu basi ana dini. Dini imeletwa na mwanadamu,Ila Mungu yupo kabla ya uwepi wa dini. Click to expand... Ukwel ila hawa wagalatia noma
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 18,042 Reaction score 25,674 May 15, 2026 #4 Kuna watu wanaenda kanisani lakini matendo yao ni tofauti na dini inavyotaka. Wao ndio wachawi, wezi na matendo mengine yanayomchukiza Mungu. Imani yako ndio itakuokoa.
Kuna watu wanaenda kanisani lakini matendo yao ni tofauti na dini inavyotaka. Wao ndio wachawi, wezi na matendo mengine yanayomchukiza Mungu. Imani yako ndio itakuokoa.
Wakufoji Senior Member Joined Jan 15, 2019 Posts 198 Reaction score 386 May 15, 2026 #5 mm pia nipo hivyo . haiamin din huyo bali anaamin uwepo wa nguvu kuu "Mungu"
Funny boe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2023 Posts 3,381 Reaction score 7,522 May 15, 2026 #6 Yaping Xi Laan said: Mtu haend kanisani wala msikitin ila anamuamini mungu na kumwabudu. ila kuenda kwake kanisan n mwiko? Click to expand... Hakuna mungu nje ya dini. Yeyote asemaye hivyo ni atheist kama wapinga mungu wengine tu.
Yaping Xi Laan said: Mtu haend kanisani wala msikitin ila anamuamini mungu na kumwabudu. ila kuenda kwake kanisan n mwiko? Click to expand... Hakuna mungu nje ya dini. Yeyote asemaye hivyo ni atheist kama wapinga mungu wengine tu.