najiuliza hili swali,maana kila siku humu MMU malalamiko hayaishi,
mara sijui utasikia,mpenzi hanifikishi,mara mpenzi mchafu,mara kanitenda,mara kachepuka,mara mbahili,mara ..........
hivi kuna anaekaa na mke au mume ndani ya siku saba bila malalamiko?