Kuna mswada uliletwa miaka ya 2017-18 kwamba mtu akiwa na laini ya Voda mfano, anaweza akahamia Airtel bila kubadirisha namba. Wenzetu nje wanafanya hivo.
Aisee ilizimwa kimya kimya na wale top Giants, maana watu wangehama wakaamia mitandao iliokua inachipukia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.