Hahahaha ah mzee wote wanaojichanganya na hilo la kusomesha wanaangukia pua, na bado unaona kuna raia zinarudia ujinga ule ule. Sijui wanataka medali?Tatizo Unakuta moyo wa mtu badala ya kusukuma damu unasukuma shahawa. Ni Jukumu la mwanaume kuuambia moyo "acha wenge fanya kazi yako ya msingi, zingatia JD zako"
Wanataka migogoro na Jamhuri chini ya Sheria ya makosa ya jinaiHahahaha ah mzee wote wanaojichanganya na hilo la kusomesha wanaangukia pua, na bado unaona kuna raia zinarudia ujinga ule ule. Sijui wanataka medali?
Si wametaka wenyewe lakini 😃😃😃Watashikwa pasipostahiliView attachment 2697434