hivi hawa helsb wako serious kweli

snochet

JF-Expert Member
Mar 31, 2011
1,407
1,110
vp wadau,naona hawa walioanzisha olas hawakujipanga vizuri wana ujumbe wa kutegatega sana watu,kama change from being an orphan to a single parent or having both parents,tutawafufuaje wazazi wetu?pia hamna sehemu ya ku-log out,kweli wamekuwa wazembe hivi?,,,,,,,huu ni upuuuzi kwa idara kubwa kama ile na IT department yooote ina maana wanafanya kazi gani mpaka wanamaliza hela za wanafunzi kwenye ma-internet cafe's
 
Matatizo ya kubebana makazini haya, mtu hana qualifikatio kapewa kazi wewe unategemea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…