vp wadau,naona hawa walioanzisha olas hawakujipanga vizuri wana ujumbe wa kutegatega sana watu,kama change from being an orphan to a single parent or having both parents,tutawafufuaje wazazi wetu?pia hamna sehemu ya ku-log out,kweli wamekuwa wazembe hivi?,,,,,,,huu ni upuuuzi kwa idara kubwa kama ile na IT department yooote ina maana wanafanya kazi gani mpaka wanamaliza hela za wanafunzi kwenye ma-internet cafe's