CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
kaka watengenneza vifua wote siku hizi mashoga,wanataka yawe yana minywa minywa wakati wana nanihiwa
La la la la la la
kaka watengenneza vifua wote siku hizi mashoga,wanataka yawe yana minywa minywa wakati wana nanihiwa
six packs ipo hapo?
Kwangu au?
Kaka mimi sina na wala sijawahi kuwa na vipaket 6, mimi ni kamanda wa machifu ya kizulu
nimekukubali kaka manake shavu dodo...l.o.l
jaman mwanaume hasifiwi kwa umbo wala sura.mwanaume mashine tena ikoboe na kusaga kabisa hata kam mwanaume huyo ni kijiti kwa wembamba kama the finest .hvyo vifua ni upepo tu,akipata pancha hatamaniki huyo.bora hata mwenye kitambi na nyama za bia anaweza kukupa faraja za burudani kitandani maana mashine yake haiwez ishiwa upepo km hao.
Jaman mwanaume hasifiwi kwa umbo wala sura.mwanaume mashine tena ikoboe na kusaga kabisa hata kam mwanaume huyo ni kijiti kwa wembamba kama the finest .hvyo vifua ni upepo tu,akipata pancha hatamaniki huyo.bora hata mwenye kitambi na nyama za bia anaweza kukupa faraja za burudani kitandani maana mashine yake haiwez ishiwa upepo km hao.
duh first lady
sijawahi kukusikia ukiwa more open
na maneno ya uwazi hivi....
Leo nimekuona kwenye another light....a different one...
nisome vizuri kwnye post zangu mara zote niko open.labda unachanganya na firstlady 1.
hii ndo nyimbo niyapenda ya dr remmy...
Loh! Nimecheka mpaka basi yaani we mwanamke balaa tupuJaman mwanaume hasifiwi kwa umbo wala sura.mwanaume mashine tena ikoboe na kusaga kabisa hata kam mwanaume huyo ni kijiti kwa wembamba kama the finest .hvyo vifua ni upepo tu,akipata pancha hatamaniki huyo.bora hata mwenye kitambi na nyama za bia anaweza kukupa faraja za burudani kitandani maana mashine yake haiwez ishiwa upepo km hao.
Kaka naona unapiga tu miluzi:whistle:
Kaka naona unapiga tu miluzi
View attachment 22536
yupo aliye fit namna hii????nimeona mahali kuna BABU humu wa kukagua sijui matiti ya wadada kwa ajili ya wapwazzz wa kiume.....jamani mie najitolea kuwa BIBI wa kukagua wakakazzzzzzzzz kwa wadada wa JF....:msela::msela::msela::hungry::hungry:eace:
Hahaha ili mradi amesema mwenyewe mashine iwe inajua kusaga na kukoboa hilo ndio jambo la msingi, hizo nyama hata kwenye sambusa zipoyeah! nimesikia kumbe na wewe uko ka mimi!....l.o.l
Jaman mwanaume hasifiwi kwa umbo wala sura.mwanaume mashine tena ikoboe na kusaga kabisa hata kam mwanaume huyo ni kijiti kwa wembamba kama the finest .hvyo vifua ni upepo tu,akipata pancha hatamaniki huyo.bora hata mwenye kitambi na nyama za bia anaweza kukupa faraja za burudani kitandani maana mashine yake haiwez ishiwa upepo km hao.
St. kwani wewe ni mkaka, mbaba, mbabu, mzee, oldman, kizee????Except weupe....