Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,924
- 122,195
Tuna jeshi letu imara lenye intelijensia makini, limeweza kudumisha amani(kama sio utulivu) katika nchi yetu kwa muda mrefu hadi sasa.
Lakini intelijensia hii linapofika suala la wale wanaoitwa/waliopachikwa jina la Wasiojulikana, huwa inalala usingizi wa pono.
Zitapita masaa 24, 48, wiki, mwezi hatimaye mwaka bila kupatikana wasiojulikana. Ni kweli jeshi letu wako serious??
Jee hadi apotee nani ndio wasiojulikana wapatikane/wakamatwe kwa muda muafaka ndani ya saa 24 au 48?
Kwa mtazamo wangu nahisi Baba mwenye nyumba(japo sidhani maana ana ulinzi haijawahi kutokea ukilinganisha na Wababa waliotangulia) akipotea, ndani ya masaa 2 wasiojulikana watakuwa washanyongwa kabisa.
Lakini intelijensia hii linapofika suala la wale wanaoitwa/waliopachikwa jina la Wasiojulikana, huwa inalala usingizi wa pono.
Zitapita masaa 24, 48, wiki, mwezi hatimaye mwaka bila kupatikana wasiojulikana. Ni kweli jeshi letu wako serious??
Jee hadi apotee nani ndio wasiojulikana wapatikane/wakamatwe kwa muda muafaka ndani ya saa 24 au 48?
Kwa mtazamo wangu nahisi Baba mwenye nyumba(japo sidhani maana ana ulinzi haijawahi kutokea ukilinganisha na Wababa waliotangulia) akipotea, ndani ya masaa 2 wasiojulikana watakuwa washanyongwa kabisa.