Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Nikikumbua JF ilivyompigia debe na kumuunga mkono Dr Ulimboka baada ya kufanyiwa kitu mbaya na serikali, najisikia vibaya kuona alivyotoweka. Je kunani au amelishwa kitu, kugwaya, au kaishia wapi jamaa huyu? Maana sisikii mgomo wa madaktari tena ukiachia mbali wenzao waliomo kwenye mazoezi kuwasaliti na kuramba masaburi Kikwete. What's up?