Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,692
Wakuu naomba msaada hapa,
Nashindwa kupata jibu kuwa inakuwaje mkuu wa mkoa wa Dar awe mfano kwa wakuu wa mikoa wote. Naomba tuangalie vitu ambavyo vipo vinaonekana Dar ya leo na tulinganishe ile ya 2015?
Kama ni ile vita vya wauzaji wa sukari je sukari ilishuka kufika bei elekezi? Kama ni vita ya madawa ya kulevya, je ni kweli haya madawa yameisha. Mbona biashara inaendelea tu as usual?
Kama ni vita ya watu kunywa pombe muda wa kazi, je wameacha? Je ile vita ya watu kulala gest muda wa kazi nayo imeisha? Kama ni kupanda miti, iyo miti iliyopandwa ipo wapi hivi sasa?
Kama ni usafi mbona jiji bado chafu tu?
Nashindwa kupata jibu kuwa inakuwaje mkuu wa mkoa wa Dar awe mfano kwa wakuu wa mikoa wote. Naomba tuangalie vitu ambavyo vipo vinaonekana Dar ya leo na tulinganishe ile ya 2015?
Kama ni ile vita vya wauzaji wa sukari je sukari ilishuka kufika bei elekezi? Kama ni vita ya madawa ya kulevya, je ni kweli haya madawa yameisha. Mbona biashara inaendelea tu as usual?
Kama ni vita ya watu kunywa pombe muda wa kazi, je wameacha? Je ile vita ya watu kulala gest muda wa kazi nayo imeisha? Kama ni kupanda miti, iyo miti iliyopandwa ipo wapi hivi sasa?
Kama ni usafi mbona jiji bado chafu tu?