Hivi Congo Bado Kuna Muziki?

Bingwaman

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2010
Posts
548
Reaction score
288
Wengi wetu tunaelewa historia ya muziki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na nafasi ya nchi hiyo katika muziki barani Afrika. Hata hivyo, katika miaka ya karibuni muziki wa Congo umebadilika kiasi cha baadhi yetu kujiuliza kama bado nchi hiyo iko juu kimuziki kama miaka iliyopita. Nini maoni yenu wakuu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…