MeNaco.com
Member
- Sep 1, 2011
- 94
- 4
ukitaka kupata matatizo ya kushabikia basi shabikia chelsea, maana hawa watu sijui ni timu, mfano wa timu au ni wazee wa kutimua timua. ndani muda mfupi wanaatimua makocha sasa sijui Chelsea itaendeshwa na mfumo gani wa soka maana hakuna kocha anayekaa na mfumo wake pale Chelsea ukadumu. hata kama alikuja na mfumo mzuri akianza tu kufundisha mfumo wake wanafukuza. duh Chelsea ni TIMUTIMUA HIGH SCHOOL. GGMU