Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Amani iwe kwenu!
Katika pita pita yangu maktaba ya mambo ya utawala wa kisiasa "political governance"..huki nikifuatilia siasa za CHADEMA hii "mpya" chini ya yaliyokuwa magamba.Nimegundua ya kuwa kuna misingi ya kidemokrasia imekiukwa,ningependa tupatiane majibu ili tujisahihishe;
1.Je kipengele kinachozuia mwanachama kudai haki mahakamani pale anapohisi kuonewa kinaendana na misingi ya demokrasia?
2.Je uchaguzi wa kunyoosha vidole huku mwenyekiti Mbowe akitamba "nataka nione asiyenyoosha,ni mchawi!"..hii ilitokea siku ya kumuidhinisha Lowassa na Mashinji...je ni kweli hawa watu walipata asilimia 100 ya kura?
3.Tumeshuhudia Lowassa akijinadi kuwa ndiye mgombea wa CHADEMA 2020.Je hili limepata baraka ya vikao?..je katiba imempa ugombea wa kudumu?...Mbowe mbona unanyamaza,unamwogopa?...BAVICHA kazi yao nini katika kulinda chama?..je hili suala kwa muktadha wa demokrasia limekaaje?
4.Tukio lilifanywa kwa wagombea wa ubunge na udiwani chadema,Monduli..wote waliondolewa na kuwekwa vibaraka wa Lowassa....ninaweza nikasema Baraza la madiwani Monduli hawaamini katika CHADEMA bali Lowassa;Je hii kidemokrasia imekaaje?(maeneo mengi pia ilitokea)
5.Je hili jambo la kutopendekeza wenyeviti Laac,Pac...kwa sababu kuwa hawawezi,vilaza,limekaaje kidemokrasia?
6.Je kwa matukio hayo hapo juu, CHADEMA imegeuka kuwa chakima? (chakima:chama cha kiimla na malalamiko)
Nawakaribisha kujadili hoja hizo chache ili tufikie muafaka kuboresha vyama vyetu.
Tujikite kwenye mada na sio kelele.
Katika pita pita yangu maktaba ya mambo ya utawala wa kisiasa "political governance"..huki nikifuatilia siasa za CHADEMA hii "mpya" chini ya yaliyokuwa magamba.Nimegundua ya kuwa kuna misingi ya kidemokrasia imekiukwa,ningependa tupatiane majibu ili tujisahihishe;
1.Je kipengele kinachozuia mwanachama kudai haki mahakamani pale anapohisi kuonewa kinaendana na misingi ya demokrasia?
2.Je uchaguzi wa kunyoosha vidole huku mwenyekiti Mbowe akitamba "nataka nione asiyenyoosha,ni mchawi!"..hii ilitokea siku ya kumuidhinisha Lowassa na Mashinji...je ni kweli hawa watu walipata asilimia 100 ya kura?
3.Tumeshuhudia Lowassa akijinadi kuwa ndiye mgombea wa CHADEMA 2020.Je hili limepata baraka ya vikao?..je katiba imempa ugombea wa kudumu?...Mbowe mbona unanyamaza,unamwogopa?...BAVICHA kazi yao nini katika kulinda chama?..je hili suala kwa muktadha wa demokrasia limekaaje?
4.Tukio lilifanywa kwa wagombea wa ubunge na udiwani chadema,Monduli..wote waliondolewa na kuwekwa vibaraka wa Lowassa....ninaweza nikasema Baraza la madiwani Monduli hawaamini katika CHADEMA bali Lowassa;Je hii kidemokrasia imekaaje?(maeneo mengi pia ilitokea)
5.Je hili jambo la kutopendekeza wenyeviti Laac,Pac...kwa sababu kuwa hawawezi,vilaza,limekaaje kidemokrasia?
6.Je kwa matukio hayo hapo juu, CHADEMA imegeuka kuwa chakima? (chakima:chama cha kiimla na malalamiko)
Nawakaribisha kujadili hoja hizo chache ili tufikie muafaka kuboresha vyama vyetu.
Tujikite kwenye mada na sio kelele.