Hivi CCM imebashakiwa na wanachama wangapi!?

nadhan waliobak ni wanacham jez tu saab ata uyo makomeo anawakubali ukaw kinomanoma
 

Mimi nimejiunga na CCM, siku waliomkata Lowassa.

Nihesabu ndio utajua tuko wangapi?
 

umenena mkuu, tatizo baadhi ya watu walichezea maisha wanadhani Lowassa atawasaidia Milo yao, au kuwaandalia future zao. wanaume mgangamale jukumu la kujiinua Lipo mikononi kwako hakuna m wanasiasa wa kukusogezea mkate mezani. hizo ni ndoto za abunuasi.
 
wakifika milion tatu ni bahati kwa sababu wengi wapo kule kimwili tu lakini kiroho wapo ukawa
 
Mimi nimejiunga na CCM, siku waliomkata Lowassa.

Nihesabu ndio utajua tuko wangapi?
Mimi sifanyi kazi ya kuhesabu na ndio maana nikauliza. Nimeona juzi kadi ambazo zingine ni za miaka ya sitini zikirejeshwa, na haikuwa mjini bali huko huko vijijini.
Mwenye makadirio ya idadi ya in and out atusaidie ili tubalance idadi ya awali!

 
Ukawa mtashangaa, hizi elfu thelathini anazo mwaga Lowasa tutazila, kutubeba kwenye mabasi tutapanda ili tutalii, NA KURA HATUMPI
 
hapo campaign bado
zitarudi nyingi hadi walale
 

Katika hao nitoe mimi nishawaachia chama chao wanakitengo. Hivyo hivyo wamebaki 5,999,999. Endelea kutoa wengine ukianzia na Lowassa,Lembeli,Mgeja,Bulaya,Guninita n.k............
 
Kuchoka umechoka peke yako, na uende kwenye maadamano ya pokea Lowassa na under 20s wenzio
Sie chama chetu kina songa mbele.

Kuanzia 18 years, wana haki, tena for your info mi sio under 20. Watanzania tumechoka labda nyie wachaache tu, CCM imeshindwa kazi miaka 50 hamna lolote la maana mlilonyanya. Lowassa ndio rais ajaye hata kama hampendi ndio ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…