Zilipendwa!Hivi bikra zimeendaga wapi jamani. Mimi nina wasiwasi na wasichana wa leo sijui wanajitoa wenyewe mbona zamani zilikuwa za kumwaga embu funguka wewe.
Msichana unaejiamini umetolewa au umejitoa.
Utanifuata PM nikuambie ..Hivi bikra zimeendaga wapi jamani. Mimi nina wasiwasi na wasichana wa leo sijui wanajitoa wenyewe mbona zamani zilikuwa za kumwaga embu funguka wewe.
Msichana unaejiamini umetolewa au umejitoa.
Mmh za nyuma labda...au walikuwekea limao ukadhan bado bikraMm nmetoa tatu Tena mwingine nategemea kumuoa. Nani aliyeoa bikra humu jf? Utasubir Sana
Unachotafuta nini kule mahala? ShaurizakoHivi bikra zimeendaga wapi jamani. Mimi nina wasiwasi na wasichana wa leo sijui wanajitoa wenyewe mbona zamani zilikuwa za kumwaga embu funguka wewe.
Msichana unaejiamini umetolewa au umejitoa.