Hivi bado kuna jamii zinakataza binti kuolewa kabla ya dada zake wakubwa hawajaolewa?

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Naomba kujua hili.

Bado kuna jamii zinakataza binti yao mdogo asiolewe kabla ya dada zake wakubwa kuolewa? Kwamba atawaletea mkosi wasiolewe kabisa?

Kuna binti mmoja mzuri ananipenda sana, anatamani nimuoe na mimi nikamwambia sina hiyana kabisa kuhusu hilo ila anahofu kua hatakubaliwa nyumbani kwao aolewe kwa sababu dada zake wakubwa wawili hawajaolewa hivyo ananiomba kama nakapenda nisubirie dada zake waolewe kwanza.

Nimemuuliza je wasipoolewa itakuaje? Amekosa jibu anasema ni utamaduni wa kwao na anaogopa kuonekana mbaya.

Binafsi nafikiria kumchukua sabstitute wake(reserve) maana naona kama kwa utaratibu kama huu naweza kusubiri miaka. Nilieaza kumtundika mimba kisha nione kwao watakubali kukaa nae kisa dada zake hawajaolewa au watasema tuoane tu ila nimeona haina maana.

Kwamba kumbe bado tamaduni za kidwanzi zinatamalaki karne hii?
 
Naomba kujua hili.

Bado kuna jamii zinakataza binti yao mdogo asiolewe kabla ya dada zake wakubwa kuolewa? Kwamba atawaletea mkosi wasiolewe kabisa?

Kuna binti mmoja mzuri ananipenda sana, anatamani nimuoe na mimi nikamwambia sina hiyana kabisa kuhusu hilo ila anahofu kua hatakubaliwa nyumbani kwao aolewe kwa sababu dada zake wakubwa wawili hawajaolewa hivyo ananiomba kama nakapenda nisubirie dada zake waolewe kwanza.

Nimemuuliza je wasipoolewa itakuaje? Amekosa jibu anasema ni utamaduni wa kwao na anaogopa kuonekana mbaya.

Binafsi nafikiria kumchukua sabstitute wake(reserve) maana naona kama kwa utaratibu kama huu naweza kusubiri miaka. Nilieaza kumtundika mimba kisha nione kwao watakubali kukaa nae kisa dada zake hawajaolewa au watasema tuoane tu ila nimeona haina maana.

Kwamba kumbe bado tamaduni za kidwanzi zinatamalaki karne hii?
Mkuu, kabila gani? tujiandae kisaikologia tulio na multiple wachumba?
 
Ni ngum kuamini yan akae asubiri dada zake waolewe ndio aolewe na wakat huo huo we utakuwepo tu umsubiri ni kama vile hilo kabila wana mkataba na Mungu yan watasubiriana kipindi kiref wana uhakik na uhai wao??
 
Inaonekana huyu unampenda kuliko reserve. Zuka kwao ukajitambulishe na kuwafahamisha nia yako. Wakipata kigugumuzi tia mimba uchukue jumla jumla ila usiingie mitini Mkuu baada ya ujauzito, idadi ya “singo maza” imeshakuwa kubwa sana. Usisahau mrejesho.
😎😎😎

Naomba kujua hili.

Bado kuna jamii zinakataza binti yao mdogo asiolewe kabla ya dada zake wakubwa kuolewa? Kwamba atawaletea mkosi wasiolewe kabisa?

Kuna binti mmoja mzuri ananipenda sana, anatamani nimuoe na mimi nikamwambia sina hiyana kabisa kuhusu hilo ila anahofu kua hatakubaliwa nyumbani kwao aolewe kwa sababu dada zake wakubwa wawili hawajaolewa hivyo ananiomba kama nakapenda nisubirie dada zake waolewe kwanza.

Nimemuuliza je wasipoolewa itakuaje? Amekosa jibu anasema ni utamaduni wa kwao na anaogopa kuonekana mbaya.

Binafsi nafikiria kumchukua sabstitute wake(reserve) maana naona kama kwa utaratibu kama huu naweza kusubiri miaka. Nilieaza kumtundika mimba kisha nione kwao watakubali kukaa nae kisa dada zake hawajaolewa au watasema tuoane tu ila nimeona haina maana.

Kwamba kumbe bado tamaduni za kidwanzi zinatamalaki karne hii?
 
Inaonekana huyu unampenda kuliko reserve. Zuka kwao ukajitambulishe na kuwafahamisha nia yako. Wakipata kigugumuzi tia mimba uchukue jumla jumla ila usiingie mitini Mkuu baada ya ujauzito, idadi ya “singo maza” imeshakuwa kubwa sana. Usisahau mrejesho.
😎😎😎
Hahahaa, kwa mbali huyu anauvutia moyo wangu zaidi ya reserve.
 
Ni ngum kuamini yan akae asubiri dada zake waolewe ndio aolewe na wakat huo huo we utakuwepo tu umsubiri ni kama vile hilo kabila wana mkataba na Mungu yan watasubiriana kipindi kiref wana uhakik na uhai wao??
Hata mimi nashangaa kwa kweli.
 
Back
Top Bottom