ProcrastinatorInChief
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 13,002
- 29,466
Na kuzuia Ukawa wasiandamanePale viwanda vitakavyotengenezwa vyote, hili la ajira sio kipaumbele cha serikali Bali ni kuhamia Dodoma.
Hata ukijiingiza kwenye kilimo bado utakuwa unalitumikia taifa, fikra potofu za kukomalia kuajiriwa ndiyo kulitumikia taifaHabari za asubuhi wana jf..kuna swali moja kama kuna mtu anaweza kunijibu tafadhali naomba ufafanuzi.. ilikuwa mwaka jana ambapo tulimalza shule kwa furaha tukiamini tunaenda kulitumikia taifa kwa yote tuliofundishwa tukiamin kuanzia mwezi wa kumi tutapata kuajiriwa lkini haikuwa hivo.. tukapewa matumaini kwamba pengine baada ya kuteuliwa baraza la mawaziri tutapata kupewa post tukalitumikie taifa ila haikuwa hivyo.... ilipopita tukaambiwa kwamba baada ya bunge la bajeti tutapewa ufafanuzi na kupewa post.....ila baadae kwa mapenzi mema ya nchi hiii mheshimiwa raisi magufuli alitangaza kustisha ajira ili kupisha uchunguzi wa wafanyakazi hewa naalitoa miezi miwili zoezi likamilike na kutoa ajira mpya mbona siku zinapiata na hatuoni hzo ajira tatizo ni ninini?
ww tope tena la ccm kilimo soko la bidhaa unatoa wapi kubwekaHata ukijiingiza kwenye kilimo bado utakuwa unalitumikia taifa, fikra potofu za kukomalia kuajiriwa ndiyo kulitumikia taifa
Mbigiri-Kilosa: Bei ya nyanya yashuka hadi sh 700 kwa ndoo ya lita 20Hata ukijiingiza kwenye kilimo bado utakuwa unalitumikia taifa, fikra potofu za kukomalia kuajiriwa ndiyo kulitumikia taifa
[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] liambie hajielewi huyo yeye mwenyewe kaajiriwa lakini anakunya pumba
Atleast ww umenipa matumaini.pole, ajira zitaanza kumiminika kuanzia wiki inayoanza kesho.
riski ndio riziki?Atapata kama riski yake muamini mungu.......
Mangi.Atapata kama riski yake muamini mungu.......