Hivi Air Force wanalengaje Target?

Hivi Air Force wanalengaje Target?

Salaam, najiuliza hawa mfano IDF huwa wanajuaje Millitary target zao sababu hayo ni maeneo ya siri, mfano wamepiga vitu kibao Yemen wanajuaje latitude hii au longtide hii kuna ghala la silaha au kuna tanks za mafuta n.k na hawakosi Shabaha
Wauliye yemen wanatua google map ya nani
 
Kasome Projectile utaelewa. Mimi sina mda wakukuelezea
Unampeleka kote huko
Geography tu inamtosha kila eneo la ardhi lina mahali ambapo longitude na latitude zinakutana pale kwenye intersection point

Kuwa popote unaposimama au kukaa kuna longitude na latitude inapita juu yako na zinakutana kwenye intersection hapo ulipo rubani anaachia kitu kizito kutwanga hapo kwenye intersection point ulipo na unakuwa marehemu dakika tu
Tatizo wengi hawazingatii masomo utasikiia ohh tunasoma theory latitude na longitude zitatupeleka wapi ? Wastage of time

ona sasa mleta mada alivyo bwege hata hajui hata air force wanawezaje kulenga target

Ndio maana wanaanga wengi lazima Course ya PGM yaani Physics, Geography na Mathematics ipande. Kichwani hasa na mambo ya longitude na latitude yakae vizuri.kichwani na calculations zake za intersection point
 
Huwa wana bahatisha tu au wawe wamepata vilaza wanawapa infomation, ingekuwa ndege hizo zinaona target US au Israel wangekuwa wanashida vita, bila kusaidiwa 😄
 
Kasome Projectile utaelewa. Mimi sina mda wakukuelezea
Mkuu umempeleka mbali sana kikubwa wanajuaje targets n kupitia mashushu pia nchi kama Israel inabadilishana taarifa za kijeshi na nchi nyingi tu za kiarabu pia wana setilait za kutosha huko angan ku hits ndio inakuja mambo ya PGM apo latitude and longitude
 
Salaam, najiuliza hawa mfano IDF huwa wanajuaje Millitary target zao sababu hayo ni maeneo ya siri, mfano wamepiga vitu kibao Yemen wanajuaje latitude hii au longtide hii kuna ghala la silaha au kuna tanks za mafuta n.k na hawakosi Shabaha
Wewe omba tu Video ya Ndugu zake Adiosamigo walivyo pigwa kwa button tu.. Video Israel washaachia maana USA kakomaa vilaza wanaweza dhania USA imehusika...

Kwenye Crane nikajua pilot kaivagaa maana video imezoom hadi giza likatokea... Operation ya Kwenda na kurudi kwa Masaa Mawili na Dakika 50 game over Moto hadi leo haujazima... wanazima na Ndoo.. Houthi wakirudia tena sijui.. maana hata muungano wa Saudi na wenzake hawajawahi kutoa kipondo kama cha Israel cha Dakika Mbili tu Pirots wakageuza
 
Huwa wana bahatisha tu au wawe wamepata vilaza wanawapa infomation, ingekuwa ndege hizo zinaona target US au Israel wangekuwa wanashida vita, bila kusaidiwa 😄
Muslim mmebarikiwa kuongopa.. yaani kila kitu Allah karuhusu... Kwa imani ya Dini yako ukiongpa sana ndio unakuwa na rank kubwa peponi unaweza kuwekwa karibu na Mtume mbingu za juu zaidi na vijakazi vitoto vingi na Wanawake wa Allah weupe hahi bone marrow unaziona.. its so disgusting hamuoni.. Njoo tukubatize Jesus Loves you
 
Unampeleka kote huko
Geography tu inamtosha kila eneo la ardhi lina mahali ambapo longitude na latitude zinakutana pale kwenye intersection point

Kuwa popote unapisimama au kukaa kuna longitude na latitude inapita juu yako na zinakutana kwenye intersection hapo ulipo rubani anaachia kitu kizito kutwanga hapo kwenye intersection point ulipo na unakuwa marehemu dakika tu
Tatizo wengi hawazingatii masomo utasikiia ohh tunasoma theory latitude na longitude zitatupeleka wapi ? Wastage of time

ona sasa mleta mada alivyo bwege hata hajui hata air force wanawezaje kulenga target

Ndio maana wanaanga wengi lazima Course ya PGM yaani Physics, Geography na Mathematics ipande. Kichwani hasa na mambo ya longitude na latitude yakae vizuri.kichwani na calculations zake za intersection point
Jibu reeefu na vijembe viingii lakini uelewa ni ziro au dunguli.
Rudia kusoma swali la mleta mada. 💩💩💩💩💩💩💩
 
Salaam, najiuliza hawa mfano IDF huwa wanajuaje Millitary target zao sababu hayo ni maeneo ya siri, mfano wamepiga vitu kibao Yemen wanajuaje latitude hii au longtide hii kuna ghala la silaha au kuna tanks za mafuta n.k na hawakosi Shabaha
Google Earth waliotengeneza ni wao ukiingia waweza ona kila kitu ikiwemo nyumba unapoishi na wakaona hadi vituo vya kijeshi vilipo na kinachoendelea pale hata utumie teknolojia ipi kujaribu kuficha pasionekane wao wanaona

Wakisha locate kwa Google Earth Google map inawapa uelekeo wa target ilipo kwa usahihi .Wana load hizo information ikionyesha exactly hiyo target ilipo physically na longitude na latitude yake halafu wanaachia kitu kizito pale kwenye intersection point zinapokutana longitude na latitude

Hiyo ni Geography katika unora wake kwenye practical

Elimu ya Geography ya darasani ikiwa applied sasa kwenye ulimwengu halisia kubomoa wa houth wa yemen

Ukisikia watu kwenda shule hawatanii
Mwisho wa siku asiye na elimu anayejitia jasiri kwa kuhamasishwa tu ns aya za Kurani na kusema ekimu dunia haina maana anaonyeshwa cha mtema kuni na Israel awe Hamas,Wahouth nk Israel wanaojua elimu umuhimu wake
 
Hapa utapata majibu tuliyokariri shule, lkn fact ni kwamba hii tech inafichwa na hatujui chochote,
si unajua hata hii google map tunayoitumia ni part ndogo tu ya ile inayotumika USA army?
 
Kazi ya Agent wa Aridhini ambapo hapa Agent hupandikiza vifaa vitakavyoongoza Kombora kufikia Tageti yake.


Kazi ya Satelaiti, ambazo baada ya Tageti kutambulika, Satelaiti huliongoza Kombora Hilo .


Kwa Sasa Kuna AI.


Kwa Ufupi, Mzungu ni mtu na nusu.
Huwa nawashangaa sana watu wanapompambanisha mzungu na mchina, kwenye masuala Tech mzungu kitu kingine.
 
Back
Top Bottom