Kasome Projectile utaelewa. Mimi sina mda wakukuelezea
Anachouliza sio silaha inafikiaje shabaha (target)? Anauliza, wanajuaje pale pana shabaha inatakiwa kupigwa?
Boli linatembea, kabla ya kupigwa wanakuwa wamefanya study na zipo njia nyingi za kufanya hivyo. Mosi, kuna mashushu; informants wao ndani ya nchi au infiltrated. Usually, hawa wakikamatwa huwa ni kifo.
Pili, technology kupitia mawasiliano mbalimbali ya simu, mitandao, n.k. kusikilizia na kuchambua maongezi.
Tatu, satellites. Huko angani wamejaza masetelaites sio poa. Harakati za kijeshi kama haziko protected vizuri wanaziona.
Ndege za uchunguzi. Wanarusha ndege na low altitude surveillance equipments, radars, etc kupata taarifa mbalimbali za kijeshi.
Vifaa vya Tehama vya matumizi ya kawaida, like computers, cameras, etc. Hujasikia wakikataza matumizi ya vifaa na software mbalimbali kwa sababu za kiusalama? Sakata la Huawei hukulisikia? Sakata la Karspersky antivirus nalo. In short wana kila aina ya mbinu.