Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,485
- 11,036
Nasubili nondo lakini kimyaNipo hapa yapata 2hrs na njaa imenianza watu mko kimya ngoja niende zangu wikipedia to Google
Nakuu kwa maelezo yako hapo kuwa ni kitabu kilizuiwa kisisomwe sasa sisi tutakujaje na mrejesho wa kuhusu icho kitabu elewa kimezuiwa mkuu.Wakuu JF ni chuo cha maarifa makubwa maana kumejaa ma-GT,katika pitapita zangu nimekutana na historia kwa ufupi kuhusu kitabu hiki "History of the necronomicon"ambacho kinasemekana ni kitabu hatari sana.
Sasa naomba wajuzi wa mambo waje kutufumbua macho tusiojua juu ya kitabu hiki kina siri gani mpaka kiwe hatari mpaka watu kuzuiliwa wasikisome.
View attachment 1690614View attachment 1690625
niliwahi kubahatika kisehemu kidogo cha icho kitabu nacho kiliandikwa hivi;-Wakuu JF ni chuo cha maarifa makubwa maana kumejaa ma-GT,katika pitapita zangu nimekutana na historia kwa ufupi kuhusu kitabu hiki "History of the necronomicon"ambacho kinasemekana ni kitabu hatari sana.
Sasa naomba wajuzi wa mambo waje kutufumbua macho tusiojua juu ya kitabu hiki kina siri gani mpaka kiwe hatari mpaka watu kuzuiliwa wasikisome.
View attachment 1690614View attachment 1690625
announcement: READING THE NECRONOMICON LEADS TO TERRIBLE CONSEQUENCES, like madness and consumption by demons....(KUSOMA NECONONIKI HUSABABISHA MATOKEO YA KUTISHA, kama wazimu na ulaji wa pepo.)Wakuu JF ni chuo cha maarifa makubwa maana kumejaa ma-GT,katika pitapita zangu nimekutana na historia kwa ufupi kuhusu kitabu hiki "History of the necronomicon"ambacho kinasemekana ni kitabu hatari sana.
Sasa naomba wajuzi wa mambo waje kutufumbua macho tusiojua juu ya kitabu hiki kina siri gani mpaka kiwe hatari mpaka watu kuzuiliwa wasikisome.
View attachment 1690614View attachment 1690625
Hatari yake ni nini mkuu ? Fungukanikitabu hatari hata kukijadili mkuu.
Kama unajua kitu tia neno mkuuNi propaganda tu hamna kitu.
Hata Biblia zamani ilikua ni marufuku kuisoma isipokua kwa watu maalumu tu.