acha uongo, Isaac Newton, Einstein, Faraday, Ohm, Galileo hawakupitia madrasa wewe, acha uongo wako!!!!
acha uongo, Isaac Newton, Einstein, Faraday, Ohm, Galileo hawakupitia madrasa wewe, acha uongo wako!!!!
Hivi nyie watu mnaelewa maana ya neno MADRASA, au mpo kiushabiki tu au kwa sababu neno Madrasa linatumiwa na Waislam!?Tumaini nani anakudharau tena?
nani anayesema madrasa ni mbaya nani huyo tumfunde?
hawaoni kuwa madrasa inasaidia watu kuwa na elimu, ni mwanzo wa elimu, shule za kiislamu zinafanya vizuri Tanzania kwa sababu ya madrasa, hivi shule gani ya kiislamu mwaka jana iliongoza kitaifa, waambie mwe!
waeleze kuwa maendeleo ya sayansi na teknolojia yalianzia madrasat,
Isaac Newton, Einstein, Faraday, Ohm, Galileo wote walipitia madrasa.
Ukitaka wakuelewe achana na historia, weka kitu kinachoishi sasa kinachothibitisha madrasa ni nzuri, bila hivyo hawatakuelewa mkuu wangu ebu wape.
waaambie JK alipitia madrasa Bagamoyo, waambie Yahaya na Makamba walihudhuria siku zote.
waambie waarabu vitabu vyao vimendikwa kiarabu,shule zao wanasoma kiarabu mpaka vitabu vya advanced technonology vimeandikwa kiarabu, wakisoma madrasa wanatumia ligha hiyo hiyo mpaka vyuo vikuu, na kwa namna hii wanakuwa wazuri.
waambie kuwa madrasa za Tanzania wanatumia kiswahili sio kiarabu, hivyo wanaelewa tangu kila kitu!
waambie!
Hivi nyie watu mnaelewa maana ya neno MADRASA, au mpo kiushabiki tu au kwa sababu neno Madrasa linatumiwa na Waislam!?
Madrasah* or Madarasaa, (Hebrew Midrash), Waswahili nasi tukatohoa ilo neno na kuita Madarasa. kwa maana ya wingi na neno DARASA. Sasa ni mwanafunzi gani ambaye hakuwa kupitia madarasani?
*"a place where learning/studying is done".
* Madrasah ʿāmah (Arabic: مدرسة عامة‎😉 translates as "public school".
* Madrasah khāṣah (Arabic: مدرسة خاصة‎😉 translates as "private school".
* Madrasah dīniyyah (Arabic: مدرسة دينية‎😉 translates as "religious school".
* Madrasah Islāmiyyah (Arabic: مدرسة إسلامية‎😉 translates as "Islamic school".
* Madrasah Jāmiʿah (Arabic: مدرسة جامعة‎😉 translates as "university".
Nadhani mchangiaji mmoja hapo kwa jina la Abdulhalim, kakujibu vema.You are right. thanks
which one do you thinks suits our Madrasa in Tanzania?
Nadhani mchangiaji mmoja hapo kwa jina la Abdulhalim, kakujibu vema.
Are our Madrasa in Tanzania learning mathematics, astronomy, sciences etc? or you wish they should be doing as Abdulhalim depicted?
Kuna watu hapa JF kila mara wanaleta dharau kuhusu madrasa za kiislamu napenda kuwajibu yafuatayo:-
1. Madrasa ilianza karne nyingi zilizopita na ndio mwanzo wa elimu yote duniani
2. Madrasa zitabaki na watu wenye heshima tumepita huko ni sehemu ya kupata elimu na maarifa ya dunia, maarifa ya Muumba na Ulimwengu, ni sehemu yenye kufundisha haki..ni tishio kwa wasio penda haki na wenye kudhulumu kama US and its allies
briefly embu angalia hii!
History of the Ph.D. degree
The origins of the doctorate dates back to the ijazat attadris wa 'l-iftta ("license to teach and issue legal opinions") in the medieval Madrasahs from the 9th century, though it was limited to Islamic law at the time, as in a Doctor of Laws degree.[3] The doctorate was later extended to philosophy in the Europeanuniversities in the Middle Ages which generally placed all academic disciplines outside the professional fields of theology, medicine and law under the broad heading of "philosophy" (or "natural philosophy" when referring to science). The degree of Doctor of Philosophy was a doctorate, generally granted as honorary degrees to select and well-established scholars.[citation needed]
Fuatilia historia ya dunia na mwanzo wa maarifa utajua mchango wa madrasa katika ustaarbu wa dunia....
Loh! nimecheka mkuu wangu
Hivi haujagundua ninamtania mtoa maada! ebu rudia tena kusoma post yangu, kila nilichoandika kiko kinyume na mtoa maada. Kwa mfano kwenye lugha, waarabu ile ni lugha yao na ndiyo wanaitumia shuleni na ni wazuri
sasa uanze kumfundisha mtoto kiarabu hapa Tanzania, kisha kiswahili aende kwenye kiingereza si hatari hiyo??
Nataman madrasa zote zianze kufundisha kiingereza!!! LOL!
Uwe unasoma kwa makini mkuu!
huyu jamaa sijui anamatatizo gani,
ushauri wa bure kaungane na wenzao Somali, Afganistan nadhani lengo lako utalifikia mapema
Kuna watu hapa JF kila mara wanaleta dharau kuhusu madrasa za kiislamu napenda kuwajibu yafuatayo:-
1. Madrasa ilianza karne nyingi zilizopita na ndio mwanzo wa elimu yote duniani
Kuna watu hapa JF kila mara wanaleta dharau kuhusu madrasa za kiislamu napenda kuwajibu yafuatayo:-
1. Madrasa ilianza karne nyingi zilizopita na ndio mwanzo wa elimu yote duniani
2. Madrasa zitabaki na watu wenye heshima tumepita huko ni sehemu ya kupata elimu na maarifa ya dunia, maarifa ya Muumba na Ulimwengu, ni sehemu yenye kufundisha haki..ni tishio kwa wasio penda haki na wenye kudhulumu kama US and its allies
briefly embu angalia hii!
History of the Ph.D. degree
The origins of the doctorate dates back to the ijazat attadris wa 'l-iftta ("license to teach and issue legal opinions") in the medieval Madrasahs from the 9th century, though it was limited to Islamic law at the time, as in a Doctor of Laws degree.[3] The doctorate was later extended to philosophy in the European universities in the Middle Ages which generally placed all academic disciplines outside the professional fields of theology, medicine and law under the broad heading of "philosophy" (or "natural philosophy" when referring to science). The degree of Doctor of Philosophy was a doctorate, generally granted as honorary degrees to select and well-established scholars.[citation needed]
Fuatilia historia ya dunia na mwanzo wa maarifa utajua mchango wa madrasa katika ustaarbu wa dunia....
of course yes... What do you think...!? Myself I learned all that from madrasa...!Are our Madrasa in Tanzania learning mathematics, astronomy, sciences etc? or you wish they should be doing as Abdulhalim depicted?
just for the records, ukichukua angalau kina pythagoras walienda egypt 500 b.c, miaka takriban 500 kabla ya kuzaliwa yesu, walishakaa katika madarasa na kujifunza mpaka kutoa puthagoras theorem.
Uislam umeanza rasmi 600 a.d, miaka 1100 baada ya kina pythagoras.
Unapata wapi ushujaa wa kusema madrasa ya kisslamu ndiyo mwanzo wa elimu?