Historia ya uchakavu wa ndege za fastjet

Wazo Kuu

Senior Member
Oct 21, 2018
114
293
Januari 18, 2015; Ikiwa na abiria 131 waliokuwa wakisafiri na ndege ya Fastjet, kutoka jijini Dar es Salaam kwemda jijini Mbeya, walikumbwa na taharuki, baada ya ndege hiyo kushindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe, na kubaki ikizunguka kasha ikarudi tena jijini Dar es Salaam.

Juni 12, 2018; katika Uwanja wa ndege wa Mbeya,Abiria waote walikuwa tayari wameshapanda ndege, Muda ukafika, baada ya dakika 20 ikatangazwa kuwa ndege ni mbovu hivyo haikuweza kwenda Mbeya. Abiria walitaarifiwa kwamba ni swala la kifundi “Technical Faults". Uchunguzi umebaini kwamba hata mfumo wa upoozaji ndani ya ndege ulishindwa kufanya kazi mpaka wakalazimika kufungua mlango wa mbele na ule wa nyuma wa kushoto na kulia.

Fastjet wanaendesha shirika kwa HASRA

September 28, 2018 Fastjet hits rough patch /THE CITIZEN


Fastjet hits rough patch

In Summary

  • Fastjet Tanzania Ltd put up a brave face amid reports from its London-based parent company that it was cutting off subsidising its operations and that it was reviewing its sustainability amid mounting losses. The London office has revealed an appeal has been made to shareholders to pump in more funds if the airline was to reman afloat through October.

June 2, 2016 The EastAfrican

Fastjet expects to remain cash flow negative in 2016

http://www.theeastafrican.co.ke/bus...-in-2016/-/2560/3228718/-/nnnkv8/-/index.html

Fastjet Plc said on Thursday it expected to report a trading loss and remain cash flow negative in 2016 as business in Tanzania remained weak.

The African budget airline said load factor in Tanzania for 2015 was down 6.6 percentage points to 66.7 per cent and revenues were impacted by a weakening Tanzanian economy and political uncertainty in the country.

Fastjet, which announced the departure of chief executive Ed Winter in March, said it was in the advanced stage for recruitment of a new CEO.

January 13, 2016 The EastAfrican

Budget carrier Fastjet says CEO to step down
Budget carrier Fastjet says CEO to step down


By REUTERS

African budget airline Fastjet Plc said its Chief Executive Ed Winter would step down. Winter will remain at its helm until a new chief executive is appointed and after that he will continue in an advisory role for an agreed period of time, the London-listed company said. Headhunters would be appointed to start the search for a new CEO, Fastjet said. Winters, who was the CEO of Fastjet since 2012, has also been chief operating officer at EasyJet Plc, low cost airline Go and also CEO of National Air Services in Saudi Arabia.
 
Back
Top Bottom