Historia ya Paul Makonda

Historia ya Paul Makonda

Njanga Tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
843
Reaction score
655
Habari wanajamvi;
Naomba tusaidiane kujua background ya huyu Mkuu wa Wilaya yetu ya Kinondoni.
Tujue kidogo maisha yake, elimu yake alikulia wapi aliishi vp uko alikotoka na mengineyo.

Naomba msaada jaman.
 
makonda aangalie sana hajui kwa nini kubenea alimwita yeye kibaka uwenda kuna siri ambayo kubenea anaijua
 
makonda aangalie sana hajui kwa nini kubenea alimwita yeye kibaka uwenda kuna siri ambayo kubenea anaijua

Watanzania ni wepesi sana kusahau. Hamkumbuki ile scandal katika Bunge la Katiba? Nani alikuwa mwizi wa simu za wajumbe? Ni nani alikuwa akionekana kuwa karibu watu wanaweka simu zao kwenye mikoba na mifukoni? Sasa kwa tabia kama hiyo utamwita nani mtu kama huyo anayelipwa Shs 300,000/ per diem na anaiba simu za wenzake?
Kwa vyovyote vile ni Kibaka tena mzoefu.
Hongera Kubenea kwa kutukumbusha jambo tulilokuwa tumesahau, kweli wewe pamoja na kuwa Mbunge bado ni mwandishi nguli asiye sahau matukio. Ni vema ile story ya wizi wa simu BMK ukaiweka tena katika gazeti ili watu wa Kinondoni (ambayo inasifika kuwa na vibaka wengi) wajue kuwa wameletewa DC ambaye ni kubwa lao hao vibaka.
 
MAKONDA MTAMPENDA TU! Mlikuwa hamjui DC ni Mkubwa kupita Mbunge.... Hongera MAKONDA kaza uzi...wakileta UJINGA tupa LUPANGOooo........ WAKIWA hao.....
 
Simpendi makonda, hasa kuwa mtu wa kupenda masherehe sana wakati kipindupindu kikipiga kasi,eti sherehe ya kuwapongeza polisi, only in Tanzania unawafanyiaje sherehe watu wanaotimiza wajibu wanaopaswa kutimiza. Simpendi huyu siyo cr?ative yeye anapenda kula kula tu na masherehe
 
Simu aliyoiba si ilikuwa tu mambo ya huko mwanza ukimtaka unachukua kanga au kandambili yake ili mkutane baadaye
 
Ujinga mtupu wa viongozi wetu wa wilaya hadi nasikia kutapika,ule uchaguzi nusura lakutoe lingetokea,hawa vijana wahuni wanataka kutuletea balaa nchi yetu nzuri
 
Back
Top Bottom