Mwanamakuka kwanza ni mwanamke wa kwanza kabisa MJASIRIAMALI katika historia yetu.
Mwanamakuka alikuwa kipande cha mwanamke amepanda hewani,mlimbwende mwenye weusi wa sungusungu wenye mg'aro mithili ya chungu ndio ulikuwa ukimpa chati wakati ule.Alikuwa mcheshi mwenye cheko bashasha na mkarimu kwa watu.
Hili ndilo eneo alilokuwa anaishi Mwanamakuka ambalo saivi limejengwa shule.
Alikuwa mnyamwezi wa Tabora ailiyekuwa akisafiri kufanya biashara na wakoloni ambao wakati huo walikuwa waarabu.Mwanamakuka alikuwa akisafiri kutoka Tabora mpaka bagamoyo kibiashara.Na hii ilikuwa karne ya 18 leo tupo karne ya 21 ni miaka mingapi iliyopita?
Ujasiriamali wa wakati huo ilikuwa ni mdadilishano wa mali ghafi,vyakula vya nafaka kama vile mahindi,mtama,uwele,pia vyungu,asali na chumvi.
Waarabu walikuwa wakimpa vyombo na bidhaa za kauri.Kama ujuavyo wakati ule biashara zilikuwa za kubadilishana zaidi.Mama huyu sifa yake inayomuweka katika historia ni ujasiriamali.
Shule hii ilipewa jina lake (Mwanamakuka) kama ishara ya kumuenzi.
Mwanamakuka aliolewa na Chifu Pazi,chifu wa kizaramo.Walikaa katika ndoa na mumewe lakini hawakubahatika kupata mtoto kurithi na kuendeleza jina.
Hiyo kama nyumba ndio kwa ndani kuna kaburi la Mwanamakuka na mume wake.
Alifariki mwaka 1793 na kuzikwa hapo Bagamoyo katika nyumba aliyokuwa akiishi na mumewe pia Chifu Pazi alifariki na kuzikwa hapo hapo.
Kaburi la Mwanamakuka,lipo karibu sana na Pwani ya Bagamoyo.
Ili kuenzi kazi zake na mafanikio yake kwa wanawake kuna shindano linafanyika kila mwaka linaloitwa Mwanamakuka awards kama heshima ya kuenzi alichokifanya.
By Paul Owere
Her grave lies in the obscurity of the former slave shipping port of Bagamoyo; a place where, for centuries, thousands of Africans were shipped into slavery overseas. Very little is known about her being the first woman long-distance trader in Tanzania. Mwanamakuka ventured into barter trade as early as the 18th century when trade was a preserve for the male gender. Even in such adversity and stereotyping that characterized the pre-colonial Africa, the iron lady from Tabora dared to challenge the unknown trade.
According to documents, she exchanged traditionally made goods such as pots and other local artifacts with glassware and beads from the Far East. Her industriousness, coupled with the dazzling and exceptional beauty won the heart of Zaramo chief, Pazi, who took her hand in marriage.
Ok sio mbaya japo nahisi kuna kitu nyuma ya pazia kwa nn sasa hivi??
Ok sio mbaya japo nahisi kuna kitu nyuma ya pazia kwa nn sasa hivi??