Historia wasioijua wengi: Vita ya Tanga Novemba 1914

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,533
Mapigano ya Tanga, ambayo wakati mwingine pia hujulikana kama Mapigano ya Nyuki kikosi "B", yalikuwa ni shambulio lisilofanikiwa la Jeshi la Uingereza chini ya Meja Jenerali A. E. Aitken lililolenga kuitwaa Afrika Mashariki ya Kijerumani (sehemu ya bara ya Tanzania ya sasa) wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia katika shambulio la Jeshi lililofanyika sambamba na shambulio jengine la kikosi "C" cha Uingereza karibu na Longido kwenye miteremko ya Mlima Kilimanjaro.

Lengo la Mwingireza kuvamia akitokea upande wa Kenya ilikuwa kumwondoa Mkoloni Mjeremani kutoka Germany East Africa yaani Tanganyika au Tanzania ya sasa. Tanga ulikuwa mkoa muhimu wa ofisi za Ujeremani.

Hili lilikuwa shambulio la kwanza kabisa kwa ukanda wa Afrika Mashariki kufanywa na vikosi vya Uingereza na Wapambe wake "Triple Entente".

Lilishuhudia Waingereza wakishindwa na kudundwa na kikosi kidogo zaidi cha Askaris wa Ujerumani na askari wazawa wa Tanganyika waliojitolea wakiongozwa na Luteni Kanali Paul von Lettow-Vorbeck.

Ushindi wa Ujerumani kwenye bato hii na kwa kuzingatia ilikuwa ndo bato ya mwanzo kabisa ktk koloni la mjeremani...ilimwezesha mjeremani kujipanga kwa kuweka mazingira yatakayomwezesha kukichapa vema huko mbeleni kutetea koloni lake Tanganyika au Germany East Africa.

Baada ya hii ambush Mjeremani aliandaa vifaa vya kisasa vya mapigano kwa wakati huo(ikizingatiwa kwamba alikuwa na advanced war technologies kuliko wenzake sabu alikuwa superpower huko yuropa), vifaa vya matibabu, mahema, blanketi, chakula na idadi kubwa ya bunduki za mashine za Maxim ambazo ziliwaruhusu kufanikiwa kupinga uvamizi wa majeshi ya washirika kwa muda wote wa vita.

WIKIPEDIA
 
Ila sie Waafrika kweli huenda kuna mahali hatupo sawa mtu udhalimu wote wa wajerumani lakini bado kuna watu walimuunga mkono kwa kujitolea
 
Mapigano ya Tanga, ambayo wakati mwingine pia hujulikana kama Mapigano ya Nyuki kikosi "B", yalikuwa ni shambulio lisilofanikiwa la Jeshi la Uingereza chini ya Meja Jenerali A. E. Aitken lililolenga kuitwaa Afrika Mashariki ya Kijerumani (sehemu ya bara ya Tanzania ya sasa) wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia katika shambulio la Jeshi lililofanyika sambamba na shambulio jengine la kikosi "C" cha Uingereza karibu na Longido kwenye miteremko ya Mlima Kilimanjaro.

Lengo la Mwingireza kuvamia akitokea upande wa Kenya ilikuwa kumwondoa Mkoloni Mjeremani kutoka Germany East Africa yaani Tanganyika au Tanzania ya sasa. Tanga ulikuwa mkoa muhimu wa ofisi za Ujeremani.

Hili lilikuwa shambulio la kwanza kabisa kwa ukanda wa Afrika Mashariki kufanywa na vikosi vya Uingereza na Wapambe wake "Triple Entente".

Lilishuhudia Waingereza wakishindwa na kudundwa na kikosi kidogo zaidi cha Askaris wa Ujerumani na askari wazawa wa Tanganyika waliojitolea wakiongozwa na Luteni Kanali Paul von Lettow-Vorbeck.

Ushindi wa Ujerumani kwenye bato hii na kwa kuzingatia ilikuwa ndo bato ya mwanzo kabisa ktk koloni la mjeremani...ilimwezesha mjeremani kujipanga kwa kuweka mazingira yatakayomwezesha kukichapa vema huko mbeleni kutetea koloni lake Tanganyika au Germany East Africa.

Baada ya hii ambush Mjeremani aliandaa vifaa vya kisasa vya mapigano kwa wakati huo(ikizingatiwa kwamba alikuwa na advanced war technologies kuliko wenzake sabu alikuwa superpower huko yuropa), vifaa vya matibabu, mahema, blanketi, chakula na idadi kubwa ya bunduki za mashine za Maxim ambazo ziliwaruhusu kufanikiwa kupinga uvamizi wa majeshi ya washirika kwa muda wote wa vita.

WIKIPEDIA
N'yadikwa,
Katika mswada wa kitabu alioandika Kleist Sykes anaeleza mapigano ya Mwele Juu WWI yeye na nduguye Schneider Plantan wakiwa askari katika jeshi la Wajerumani.

Kleist akiwa Aide de Camp wa Paul von Lettow Vorbeck.

Ilikuwa wakati wako vitani ndipo baba yake Schneider alipofariki, Affande Plantan alipofariki.

Kwa heshima ya Affande Plantan Wajerumani walisimamisha mapigano na Kleist na Schneider wakapewa likizo ya kurejea Dar es Salaam kwa ajili ya msiba.

Huyu Affande Plantan Mzulu kutoka Kwa Likunyi, Mhambane akiwa na wenzake 400 ndiye aliyekuja German Ostafrika na Hermann von Wissman kuja kusaidia vita dhidi ya Bushiri bin Salim na Mtwa Mkwawa.

Nimetengeneza War Dairy ya Kleist Sykes kutoka na simulizi yake ya vita hivi.
Hapo chini ni Thomas Pantan (mtoto mkubwa wa Affande Plantan) akizungumza katika kumbukumu ya kifo cha Paul von Lettow Vorbeck:

 
Ila sie Waafrika kweli huenda kuna mahali hatupo sawa mtu udhalimu wote wa wajerumani lakini bado kuna watu walimuunga mkono kwa kujitolea
Dudu...
Huyo hapo chini ni Thomas Plantan akimuadhimisha Kamanda wake katika WWI Paul von Lettow Vorbeck 1964:

 
Edwayne,
Itapendeza uongeze eliu yake ya historia ya utumwa kwa kusoma Transatlantic Slave Trade na Belgian Slave Trade.
Mzee baba kwani nimekanusha si nimesema Waingereza ni vinara wa biashara ya utumwa kama walivyo Waarabu au unataka kusema Waarabu hawakuuza waafrika
 
N'yadikwa,
Katika mswada wa kitabu alioandika Kleist Sykes anaeleza mapigano ya Mwele Juu WWI yeye na nduguye Schneider Plantan wakiwa askari katika jeshi la Wajerumani.

Kleist akiwa Aide de Camp wa Paul von Lettow Vorbeck.

Ilikuwa wakati wako vitani ndipo baba yake Schneider alipofariki, Affande Plantan alipofariki.

Kwa heshima ya Affande Plantan Wajerumani walisimamisha mapigano na Kleist na Schneider wakapewa likizo ya kurejea Dar es Salaam kwa ajili ya msiba.

Huyu Affande Plantan Mzulu kutoka Kwa Likunyi, Mhambane akiwa na wenzake 400 ndiye aliyekuja German Ostafrika na Hermann von Wissman kuja kusaidia vita dhidi ya Bushiri bin Salim na Mtwa Mkwawa.

Nimetengeneza War Dairy ya Kleist Sykes kutoka na simulizi yake ya vita hivi.
Hapo chini ni Thomas Pantan (mtoto mkubwa wa Affande Plantan) akizungumza katika kumbukumu ya kifo cha Paul von Lettow Vorbeck:

Napata wapi kitabu cha historia hii adhimu hapa Dar
 
Napata wapi kitabu cha historia hii adhimu hapa Dar
N
Kitabu ni hicho hapo chini lakini ni ''out of print,'' Amazon utakipata lakini bei ghali.

1655092720006.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom