tujitahidi kusoma historia yetu kwa kuwa tumepotezwa sana kwa eneo lilo kuliko maeneo mengine ndo maana hatujiamini katika maeneo mengi wakati ukweli ni kwamba mzungu anajua black man ni mtu hatari sana siku akijitambua maana amebarikiwa na nature kuliko mtu mwingine ukitaka kujua hilo nenda katafute organ harvesting utashangaa sana