hisabati..



Usiingie kabisa
 
Assume unaingia na shilling x, ukifika ndani hela uliyoingia nayo itadouble na kuwa 2x.
Lakini itabidi ulipe shilling 5 kwa kuingia, kwa hiyo itabaki 2x-5

Lazima ulipe unapoingia ref.
kila unapoingia ndani ya chumba hicho ni lazima ulipe sh. 5

Nadhan maelezo hayo yako wazi... Instruction kitu change muhimu sana katika suala zima la mahisabati!..
 

kaka kwani nikiwa ha hela ya kutosha then nyingine zote nikaacha mlangoni wakati wa kutoka mlango wa mwisho ntakuwa nimekosea? kwani
ni hela zangu halali.
 

pesa unalipa chumbani au kabla ya kuingia chumbani?

Mfano pesa unalipa chumbani equation 2(2(x)-10)-10=0 .SOLVING x=sh 7.5

Mfano pesa unalipa kabla ya kuingia chumbani basi equation
2((2(x-5)-5)-5)-5=0 solving x=
sh 11.25

2(x-5)-5)-5=2.5 hence

2(x-5)-5)=7.5 hence
(x-5)
 

pesa unalipa chumbani au kabla ya kuingia chumbani?

Mfano pesa unalipa chumbani equation 2(2(x)-10)-10=0 .SOLVING x=sh 7.5

Mfano pesa unalipa kabla ya kuingia chumbani basi equation
2((2(x-5)-5)-5)-5=0 solving x=
sh 11.25
 
Lazima ulipe unapoingia ref.


Nadhan maelezo hayo yako wazi... Instruction kitu change muhimu sana katika suala zima la mahisabati!..

bado natetea calculations zangu maana kidogo uniconvince:::

'KILA UNAPOTAKA KUINGIA NDIO UNALIPA'
'KILA UNAPOTAKA KUTOKA NDIO UNALIPA'

Maana yake utalipa kabla ya kuingia, lakini ukisema kila unapoingia ndani ya chumba, inaleta contradiction!!
 
...Je, niwena shilingi ngapi ili nnapotoka katika mlango wa Magharibi niwe na sh 0 (sinai kitu)!?..

Simple, kabla ya kutoka mlango wa magharibi inabidi uwe na shilingi tano!:A S 39: Lakini, wakati wa kuingia mlango wa kaskazini inabidi uwe na shilingi 11.25:smile-big:.
 
bado natetea calculations zangu maana kidogo uniconvince:::

'KILA UNAPOTAKA KUINGIA NDIO UNALIPA'
'KILA UNAPOTAKA KUTOKA NDIO UNALIPA'

Maana yake utalipa kabla ya kuingia, lakini ukisema kila unapoingia ndani ya chumba, inaleta contradiction!!

Mi naona kama jina lako, unajaribu kuukimbia ukweli!!! Ni chumba gani ukiingia hulipi kabla ya kuingia!??yani unalipia nje!??
 
Mmekutana mathematicians,hapo kupatikana muafaka sijui!, labda askari polisi waache kufuga mabata!
 
Mwe nimetafuta chumba muda mrefu mwenzenu.Hiko chumba kina umeme?? Mambo ya kulipana hayo nitajua badae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…